Unakijua Chama Cha KADIMA?

Unakijua Chama Cha KADIMA?

Isee..!!
Unaanduka kwa jazba kweli ndugu... na unaendelea kushabikia 'makosa' ya mwandishi as if ni deal kubwa sana kwa nchi yetu.Tanzania haitaendelea kwa kushabikia spelling mistakes za waandishi wa nchi za nje.
Naona wote sasa mmepata msamiati mpya hapa JF as if msamiati huu utaleta maendeleo Tanzania.

KADIMA ni moja ya vyama vya siasa nchini Israel.
Sasa jamaa hapa JF wameshikilia kuwa ni moja ya vyama vya siasa hapa Tanzania.
Okay, labda mkitaja-taja KADIMA, ndio Tanzania itaondokana na umaskini wa kutisha.

Back to takwimu,
Hebu niambie nchi gani ina uchumi mzuri na imara kati ya Tanzania na Kenya ??
Nchi gani ina huduma nzuri za kijamii (maji, umeme, hospitali, barabara, n.k) kati ya Tanzania na S. Africa..??

Copy: ZeMarcopolo

Maswali yako yana uhusinao gani na kinachojadiliwa kwenye thread hii?
 
Lakini mkuu, twende hatua kwa hatua. Je, ni kipi kati ya alivyoandika mleta thread unaona ni upotoshaji?

Je, Slaa hajasema kuwa chama chake kina wafuasi wengi vijijini?

Je, mwandishi hajakiita chama cha Slaa KADIMA?

Je, Slaa hajasema chama chake kina absolute majority?

Je, Slaa hajasema kuwa chama chake kinataka kutekeleza sera nzuri zilizopo?



Mwandishi kukosea jina la chama ni jambo la kawaida, na wala sio kosa kubwa kama unavyolinadi.
Matamshi ya watu yanatofautiana sana. Hapa Tanzania kuna watu wanashindwa kabisa kutamka neno 'nchi', wanasema 'n-nji'. Pia kuna watu wanashindwa kutamka neno 'mjomba' wanasema 'njomba'. Kwa hili wewe na wenzako mtaanzisha thread...!!!!

Kuhusu 'majoroty' alichosema ni kuhusu majority ni kwenye upinzani, yaani Chadema ndio majority kwenye upinzani (ndio maana imepewa kuunda kambi rasmi ya upinzani).

Kuendeleza sera nzuri hii pia ipo kwenye mahojiano, ila ulivyoiweka ni kama vile amesifu CCM.
Kuna sera nyingine haziangalii chama, mfano sera ya kilimo kwanza, sidhani kama kuna chama kimapinga kilimo.
Sasa wewe utasema kuwa amesifia CCM, na auawageuka wafuasi wake...!!

Tuwe tunaandika ukweli na sio feelings na utazamo fulani.
Pia tuwe wazalendo kwa nchi yetu, sio kushambulia mtu binafsi (personality) as if huyo mtu ndio aliyetufikisha kwenye umaskini huu wa kutisha.

Wa-Tanzania tuko busy kushambulia mtu fulani, wakati mafisadi, wauza unga, wala rushwa, majangili wanafilisi nchi yetu.
Tukija kushtuka nchi imeisha, na tunayemshambulia wala hahusiki kwenye ufujaji wa nchi hii.

Stay focused kwenye issue zenye tija kwa nchi yetu, na kuacha kumshambulia mtu binafsi.
Hii wenzetu wa Rwanda wameweza, na sasa Rwanda imeendelea kuliko Tanzania.
Tanzania tuko busy kumchafua mtu mmoja badala ya kuendeleza nchi.
 
Isee..!!
Unaanduka kwa jazba kweli ndugu... na unaendelea kushabikia 'makosa' ya mwandishi as if ni deal kubwa sana kwa nchi yetu.Tanzania haitaendelea kwa kushabikia spelling mistakes za waandishi wa nchi za nje.
Naona wote sasa mmepata msamiati mpya hapa JF as if msamiati huu utaleta maendeleo Tanzania.

KADIMA ni moja ya vyama vya siasa nchini Israel.
Sasa jamaa hapa JF wameshikilia kuwa ni moja ya vyama vya siasa hapa Tanzania.
Okay, labda mkitaja-taja KADIMA, ndio Tanzania itaondokana na umaskini wa kutisha.

Back to takwimu,
Hebu niambie nchi gani ina uchumi mzuri na imara kati ya Tanzania na Kenya ??
Nchi gani ina huduma nzuri za kijamii (maji, umeme, hospitali, barabara, n.k) kati ya Tanzania na S. Africa..??

Copy: ZeMarcopolo
Pamoja na wao kuwa mbele kiuchumi lakini wameshindwa kutatua tatizo la ajira. Kimsingi Tanzania amezizidi hata nchini nilizoendelea kama Italy, Spain na Ugiriki katika kutatua tatizo la ajira. Kimsingi hivi sasa Tanzania tunafanya vizuri na tunapiga hatua kubwa na ndiyo maana Dr. Slaa amesema ataiga sera nzuri za CCM. iwapo katibu amekiri KADIMA itabidi mkubali tu.

 
Lakini mkuu, twende hatua kwa hatua. Je, ni kipi kati ya alivyoandika mleta thread unaona ni upotoshaji?

Je, Slaa hajasema kuwa chama chake kina wafuasi wengi vijijini?

Je, mwandishi hajakiita chama cha Slaa KADIMA?

Je, Slaa hajasema chama chake kina absolute majority?

Je, Slaa hajasema kuwa chama chake kinataka kutekeleza sera nzuri zilizopo?
Yote amesema hakuna hata moja ulilomsingizia “Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi”
 
Nani analipwa buku saba hapa?
Mkiitwa wazushi semeni tu asante sana.

Hakusema sera za CCM nzuri. Nimesikiliza mahojiano yote.
Zenaecopolo kawadanganya, na ninyi mnakubali tu.
Yeye ZeMarcopolo nia yake ni kusahaulisha wa-Tanzania kuhusu malipo makubwa ya waziri mkuu wetu.
Hivyo kaanzisha thread hii yenye kupotosha.
Mbinu kama hizi zinaitwa 'political diversion'...
Upo hapo..???
Swala zima hapa TZ ni kujiuliza, vipi uchumi mbovu sana wakati 'wenzetu' akina 'Million 26' wanatanua 'mbaya' ..!!!
Jiulize, kwa nini wewe unalipwa sh. elfu saba tu kwa siku (210,000 kwa mwezi..!!) kwa ajira ya JF, wakati jamaa 'anavuta' sh. 26 million kwa mwezi, halafu anawakaririsha kuwa hali ya uchumi TZ ni mabay..!!!
Upo hapo..????

Copy:-
Mamndenyi, FaizaFoxy na Lizaboni.
 
Kauli za Dr. Slaa ndani ya mwezi mmoja:
- Hatutafanya uchaguzi mpaka chadema iwe imara
- Wana JF ni wambea na wana majungu
- Josephine kutumia ID yangu ya Jf is none issue
- Watu wanatuonea wivu ndoa yetu na Josephine
- Atatekeleza sera nzuri za CCM
- Kadima ina absolute majority
- Kadima ina wafuasi wengi vijijini.
Hizi ndiyo kauli za Rais kivuli.
 
Kauli za Dr. Slaa ndani ya mwezi mmoja:
- Hatutafanya uchaguzi mpaka chadema iwe imara
- Wana JF ni wambea na wana majungu
- Josephine kutumia ID yangu ya Jf is none issue
- Watu wanatuonea wivu ndoa yetu na Josephine
- Atatekeleza sera nzuri za CCM
- Kadima ina absolute majority
- Kadima ina wafuasi wengi vijijini.
Hizi ndiyo kauli za Rais kivuli.

Haya, haya,...!!

Mamndenyi upo hapaa..!!
Niambie Mamndenyi kama wewe unaweza kuandika post kama hii hapa juu ??
Kama unaweza ni kwa nini ?? Na kama hauwezi ni kwanini ??
Chezea pesa wewe ..!! Mtu anaandika chochote kile, bora tu ajira iwepo..!!!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa hili tutusa linataka kutuambia nini? 'CCM ni sawa na ukoo wa panya, baba mwizi, mama mwizi, kaka mwizi, dada mwizi, babu mwizi, bibi mwizi, mkwe mwizi' By Mh. Nassari.😎
 
Mtangazaji alijisikia offended jina la kipindi kukosewa lakini sisi tunachekelea jina la chadema kukosewa big up mtoa mada huu ndio uzalendo kumhurumia mpita njia na kumnanga wa kwako
 
Kauli za Dr. Slaa ndani ya mwezi mmoja:
- Hatutafanya uchaguzi mpaka chadema iwe imara
- Wana JF ni wambea na wana majungu
- Josephine kutumia ID yangu ya Jf is none issue
- Watu wanatuonea wivu ndoa yetu na Josephine
- Atatekeleza sera nzuri za CCM
- Kadima ina absolute majority
- Kadima ina wafuasi wengi vijijini.
Hizi ndiyo kauli za Rais kivuli.

Hizi kauli za Slaa ndio zinawakatisha tamaa watu kama Mohammedi Mtoi kushiriki harakati za KADIMA.
 
Nani analipwa buku saba hapa?
Mkiitwa wazushi semeni tu asante sana.

Hapa nilikuwa nampa somo ZeMarcopolo. Maana jamaa huyu kaanzisha thread kwa sababu tu mwandishi fulani kakosea kutamka neno Chadema.
Basi kwa kukosea matamshi, jamaa huyu kaanzisha thread mliyoishabikia saaana.
Hivi kweli mtu amashabikia mwandishi kukosea matamshi ??

Kweli mtu unaanzisha thread kwa sababu ya mwandishi fulani kakosea kutamka neno ..??
Hapa ndio panapokuja swala la 'malipo'..!! Mtu huwezi kushabikia kwa nguvu sana makosa ya matamshi ya mwandishi bila sababu nzito sana.
Yaani hata wewe Mamndenyi umeingia kwenye kushabikia makosa ya matamshi ya mwandishi.
Yaani mwandishi akikosea tu kutamka neno, ninyi mnaanzisha thread ya kushabikia makosa hayo ya matamshi ya mwandishi...!!
Yaani hoja ya thread hii ni mwandishi kukosea kutamka neno Chadema, na wewe umeingia kwenye mtego huu...!!!!!!
Hebu angalia kama hii inaingia akilini bila ya kuwa na nguvu kubwa ya malipo..!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mtangazaji alijisikia offended jina la kipindi kukosewa lakini sisi tunachekelea jina la chadema kukosewa big up mtoa mada huu ndio uzalendo kumhurumia mpita njia na kumnanga wa kwako

Slaa aliwajibika kumrekebisha mtangazaji. Slaa ametia aibu...
 
Pamoja na wao kuwa mbele kiuchumi lakini wameshindwa kutatua tatizo la ajira. Kimsingi Tanzania amezizidi hata nchini nilizoendelea kama Italy, Spain na Ugiriki katika kutatua tatizo la ajira. Kimsingi hivi sasa Tanzania tunafanya vizuri na tunapiga hatua kubwa na ndiyo maana Dr. Slaa amesema ataiga sera nzuri za CCM. iwapo katibu amekiri KADIMA itabidi mkubali tu.


Mamndenyi na ZeMarcopolo mmeona 'topic' halisi ya thread hii hapo kwenye blue...???
Yaani mada kuu ya thread hii ni makosa ya mwandishi kutamka neno Chadema.

Mamndenyi upo hapo ????
 
Last edited by a moderator:
Kauli za Dr. Slaa ndani ya mwezi mmoja:
- Hatutafanya uchaguzi mpaka chadema iwe imara
- Wana JF ni wambea na wana majungu
- Josephine kutumia ID yangu ya Jf is none issue
- Watu wanatuonea wivu ndoa yetu na Josephine
- Atatekeleza sera nzuri za CCM
- Kadima ina absolute majority
- Kadima ina wafuasi wengi vijijini.
Hizi ndiyo kauli za Rais kivuli.
"La kuvunda halina ubani" babu ndiyo anakwenda na maji hivyo. KADIMA wamechoka taabani kila wakiziba huku, kunapasuka huku.

 
Hapa nilikuwa nampa somo ZeMarcopolo. Maana jamaa huyu kaanzisha thread kwa sababu tu mwandishi fulani kakosea kutamka neno Chadema.
Basi kwa kukosea matamshi, jamaa huyu kaanzisha thread mliyoishabikia saaana.
Hivi kweli mtu amashabikia mwandishi kukosea matamshi ??

Kweli mtu unaanzisha thread kwa sababu ya mwandishi fulani kakosea kutamka neno ..??
Hapa ndio panapokuja swala la 'malipo'..!! Mtu huwezi kushabikia kwa nguvu sana makosa ya matamshi ya mwandishi bila sababu nzito sana.
Yaani hata wewe Mamndenyi umeingia kwenye kushabikia makosa ya matamshi ya mwandishi.
Yaani mwandishi akikosea tu kutamka neno, ninyi mnaanzisha thread ya kushabikia makosa hayo ya matamshi ya mwandishi...!!
Yaani hoja ya thread hii ni mwandishi kukosea kutamka neno Chadema, na wewe umeingia kwenye mtego huu...!!!!!!
Hebu angalia kama hii inaingia akilini bila ya kuwa na nguvu kubwa ya malipo..!!!!

Mkuu,

Kwanza naomba urekebishe kauli. According to maelezo ya kijana wa Dr. Slaa, Ben Saanane, ambaye kila anachoandika kinareflect jinsi anavyotumwa na Slaa, anasema KADIMA ndio kiingereza cha Chadema.

Kwahiyo mtangazaji hajakosea.

Pili, thread inahusu mambo mengi, sio kiingereza cha Chadema tu. Kwa mfano Slaa kadanganya kuwa KADIMA ina wafuasi wengi zaidi viijini kuliko mijini. Huu ni uongo LIVE. Wewe kama mpenda Mabadiliko wa kweli inabidi ukemee ulaghai wa Slaa badala ya kuutetea.
 
Last edited by a moderator:
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.

Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!

My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.

Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...
SLAA alijua anahojiwa na Mwandishi wa habari wa TAnzania Daima na MAWIO nini?
 
Pamoja na wao kuwa mbele kiuchumi lakini wameshindwa kutatua tatizo la ajira. Kimsingi Tanzania amezizidi hata nchini nilizoendelea kama Italy, Spain na Ugiriki katika kutatua tatizo la ajira. Kimsingi hivi sasa Tanzania tunafanya vizuri na tunapiga hatua kubwa na ndiyo maana Dr. Slaa amesema ataiga sera nzuri za CCM. iwapo katibu amekiri KADIMA itabidi mkubali tu.


Sawa ndugu.
Tanzania 'ajira' nyingi sana wakati hali ya uchumi inaporomoka.
Sijui kama wana-uchumi wanasemaje kwenye hili swala.

Ila duh, hoja ya leo ya ZeMarcopolo imetia fora.
Itabidi Zemarcopolo awe ana pita-pita mitaani kisikiliza watu wanavyotamka maneno.
Akisikia tu mtu kakosea kutamka neno 'mjomba' badala yake katamka 'njomba', basi Zemarcopolo atapiga mbio kuja JF kuanzisha thread..!!!
Hapo basi..... siku imeingia.....!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom