Unajua kutongozaa?

Unajua kutongozaa?

huyo ni hotelia
anaangalia kama chakula cha mtoto kiko sawa

si unajua kila hotel lazima kuwe na mtu wa kutest msosi kama upo sawa?

Halafu Kongosho nimekuuliza hiyo AVATAL yako ndo unatongozwa na hako kajamaa au kananyonya?
 
huyo ni hotelia
anaangalia kama chakula cha mtoto kiko sawa

si unajua kila hotel lazima kuwe na mtu wa kutest msosi kama upo sawa?
Hahahahaaa poa ila usipoangalia atammalizia mtoto aisee
 
Zawadi ni partner m1 hendisamu. Mwaga sera tu..:focus:

Uhendisamu una faida gani?
Mi nataka kitu nnachoweza kutumia.

BTT. . .hii mada ni maalum kwa mtu ambae hataki kusikia kilio cha mtoa mada, sie wengine wasindikizaji tu.
 
akina rrrrr, wana mistari hii

1. Rara nikurare
2. Rara nikurenge
3. Uchue mi panga rangu rinataka kukuchoma

ama kweli ni ngumu sana kuukumbatia mbuyu.
Bora kuuzunguka

Mkuu you always come out with some "out of the wall" stuff! lol

You are the funniest kwakweli...

Kamwe siwezi kuiruka posti kwasababu mara nyingi lazima ncheke!

Na hiyo ya kuuzunguka mbuyu nimeipenda sana.

Hivi BTW kuuzunguka ni sawa na kuukumbatia?lol
 
hata zile za
' nikinywa maji nakuona kwenye glass'
'sili silali kwa ajili yako'

Zile za "Nikienda kuoga nakuona kwenye taulo"

Halafu kuna zile za ki old skool...Eti "usiku silali nakuota " Sasa shangaa utaota vipi kama hulali...lol
 
kashindwa hata kusema

'ewe dada mwenye uso wa almasi, shingo ya pingili kama za miwa, nikikuwaza namaliza kichane cha ndizi'

Zile za "Nikienda kuoga nakuona kwenye taulo"

Halafu kuna zile za ki old skool...Eti "usiku silali nakuota " Sasa shangaa utaota vipi kama hulali...lol
 
Hii thread nimeipenda... 🙂

avatar59556_2.gif


Mwali, do you have a map? I just keep on getting lost in your eyes...lol

I am a thief, and I'm here to steal you heart!

Hope i wont make NN mad...lol
 
huyo ni hotelia
anaangalia kama chakula cha mtoto kiko sawa

si unajua kila hotel lazima kuwe na mtu wa kutest msosi kama upo sawa?
Kongosho nitaanzisha thread itakayokuwa na tittle,''Kongosho ni jinsia gani''?
 
Hii ingekaa kule facebook ingependeza sana maana kule kunawatongozaji si mchezo. Mtu anatongoza wasichana 10 kwa siku wote wanakubali unafanya mchezo nini. Peleka facebook
 
Hii ingekaa kule facebook ingependeza sana maana kule kunawatongozaji si mchezo. Mtu anatongoza wasichana 10 kwa siku wote wanakubali unafanya mchezo nini. Peleka facebook
Hii ni chit chat usimhukumu aliyeta post,kama wewe hupendi kutongoza/kutongozwa usingejipitisha kwenye hii thread.
 
Back
Top Bottom