Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
huyo ni hotelia
anaangalia kama chakula cha mtoto kiko sawa
si unajua kila hotel lazima kuwe na mtu wa kutest msosi kama upo sawa?
anaangalia kama chakula cha mtoto kiko sawa
si unajua kila hotel lazima kuwe na mtu wa kutest msosi kama upo sawa?
Halafu Kongosho nimekuuliza hiyo AVATAL yako ndo unatongozwa na hako kajamaa au kananyonya?