Unajua kutongozaa?

Unajua kutongozaa?

huyo ni hotelia
anaangalia kama chakula cha mtoto kiko sawa

si unajua kila hotel lazima kuwe na mtu wa kutest msosi kama upo sawa?

....yaani hayo majibu yako, sijui huwa unayatoa kwenye jamii gani!
 
Mpole nakutongoza,ombi langu lisikie
mbele yako najijongeza,shavu nilifikie
natangaza natangaza, mpole unisikie
mwenzio NAKUTONGOZA.
KUBALI BASI
 
Mimi mistari yangu inachagizwa na noti, sema unakunywa unapenda simu ya aina gani, Vipi nikikununulia HTC
 
mpoleee kweli mie nianza kukupenda pole poleee,
kuanzia miondoko yako hata sura kayo ni ya upole
natumaini hata roho yako haina papara,
natamani uwe rafiki yangu wa karibu ikiwenzekana uwe mama wa watoto wetu
maana hiyo sura na masikio ukichangaya twaweza pata watoto wenye viwango zaidi ya TBS
natumaini utanijibu kwa upole kama jina lako lilivyo mpoleee
nitarudi baaadae
 
Nikuonapo kwenye mtandao roho yangu huwa ina right click juu yako Preta!
 
mkifunzwa mwajidai wajuaji
mkiachwa mwaja na trick za staa

kalagha baho
watakula wenzio washangaa shangaa tu




kula kwa wengine utakacho kula ni thibibitisho chafaa kuliwa au sio?
 
Ukiwa na mwanamke kama kongosho ndani hakukaliki. Mwanamke anajua kupunch vitu sijawahi ona!!

..huyu ni pasua kichwa tu, hata sentence zake zina maumbile ya kiume, tofauti na anavyojinadi.
Nahisi majibu ayatoayo huyafikiria na kuyatoa akiwa amepinduka kichwa miguu juu, ni mkao huo tu humuwezesha mwanadamu kuwa hivyo.
 
Haumuoni yule nanii siku hizi alivyotulia?
Hakukaliki kwa mahanjumati na malavumati

Ukiwa na mwanamke kama kongosho ndani hakukaliki. Mwanamke anajua kupunch vitu sijawahi ona!!
 
Hii inaitwa rebranding

jamani lazima ufanye Competitors Monitoring
afu uji-position kwenye market vizuri, uniqueness inahusu

..huyu ni pasua kichwa tu, hata sentence zake zina maumbile ya kiume, tofauti na anavyojinadi.
Nahisi majibu ayatoayo huyafikiria na kuyatoa akiwa amepinduka kichwa miguu juu, ni mkao huo tu humuwezesha mwanadamu kuwa hivyo.
 
Back
Top Bottom