prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Twende tukapeane ile roho inapenda
Yan Muuza sura nguvu yake kwako,msaidie basi kushusha mistari kwa MPOLEE maana moyo unatamani ila ndo hivyo Domo Z.mbona avatar kuuubwa
afu hamna mistari
*azima hata kwa sharobaro
Hahahahaa kweli aiseee imekula kwetu hata wakitoa zawadi mi naikosa
Mhhhhhhhhha ha ha, muunganiko wangu na wako ni kuanzia kwenye pua kuja juu kwenye nywele
huku kwingine acha tuendelee kupiga featuring na wasanii wa kulipwa
Hivi Kongosho huyo jamaa kwenye avatal yako ananyonya au...maana mi simuelewi anachokifanya haponampa one week
hii sasa natoa altimatam
asipofanya tukio?!
i will be charged and convicted na m.o.l.le.s.t.l.i.n.g big boys
game nyingi napata miteremko kabla sijaanza kitu kimeingia line sasa wale mademu wasionunua sura wakiweka uso wa mbuzi na kama nimezimika playmaker lazma ahusike!!!mbona avatar kuuubwa
afu hamna mistari
azima hata kwa sharobaro
Aiseeee, . . .
Mshindi atazawadiwa?
Mambo vip mdadapima uwezo wako wako mwaga mistari huwez jua labda utatoka na kimwana ama mkaka wa haja.
Teh kwenye karatasi inawezekana ila live....hahahahaaaaaa ngumu mumyhata zile za
' nikinywa maji nakuona kwenye glass'
'sili silali kwa ajili yako'
Hivi kwenye hii sredi anatongozwa mpoleeee au kongosho?
Halafu Kongosho nimekuuliza hiyo AVATAL yako ndo unatongozwa na hako kajamaa au kananyonya?unanitingisha
niko bize najinoa kinoma
hadi unielewe mwaka huu