[video]http://www.the-coffee-cup.com/12855/koffi-olomide-law-cafe-mocha/[/video]
Wana jamii, Imeonekana siku hizi watu wengi si wake kwa waume, wengi wao wanaona kawaida tu kutoka nje ya mahusiano, hasa wana ndoa. Wewe mwanaume Unajisikiaje Kutoka Nje ya Ndoa yako? Unajisikiaje ukisikia mke wako naye ana mahusiano huko nje, Inakuuma? Kwa nini usiseme Ngoma kapa yakaisha? Wewe mwana dada, Una mumeo Ndani, Unajisikiaje Kwenda Kumvulia mwanaume mwingine Nguo na Unakuwa Uchi, Wakati Ulihadi Kuambatana naye katika shida na raha? Huwa watu wanasahau Ahadi/Viapo walivyoviweka Mbele ya Mwenyezi Mungu? Na kwa nini ukitoka hapo Unaenda Jumapili Kanisani Kusali na kuomba Msamaha wakati next week Unaenda tena kuiba Nje? Hiyo si rahana au?
Au uumbaji wa Mwenyezi Mungu ndo linakuwa tatizo hapa, watu kuona kitu kipya hata kama ni kibovu, wanasahau walicho nacho ni bora zaidi?:hungry::fish:
Wana jamii, Imeonekana siku hizi watu wengi si wake kwa waume, wengi wao wanaona kawaida tu kutoka nje ya mahusiano, hasa wana ndoa. Wewe mwanaume Unajisikiaje Kutoka Nje ya Ndoa yako? Unajisikiaje ukisikia mke wako naye ana mahusiano huko nje, Inakuuma? Kwa nini usiseme Ngoma kapa yakaisha? Wewe mwana dada, Una mumeo Ndani, Unajisikiaje Kwenda Kumvulia mwanaume mwingine Nguo na Unakuwa Uchi, Wakati Ulihadi Kuambatana naye katika shida na raha? Huwa watu wanasahau Ahadi/Viapo walivyoviweka Mbele ya Mwenyezi Mungu? Na kwa nini ukitoka hapo Unaenda Jumapili Kanisani Kusali na kuomba Msamaha wakati next week Unaenda tena kuiba Nje? Hiyo si rahana au?
Au uumbaji wa Mwenyezi Mungu ndo linakuwa tatizo hapa, watu kuona kitu kipya hata kama ni kibovu, wanasahau walicho nacho ni bora zaidi?:hungry::fish: