Unajisikiaje mtu akikwambia ni CCM

Unajisikiaje mtu akikwambia ni CCM

MWANA WA UFALME

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2010
Posts
578
Reaction score
144
Zamani nilikuwa naheshimu mtu akiniambia yupo ccm japo nilikuwa upinzani ila kwasasa nikisikia hivyo nahisi mtu huyo atakuwa either anatatizo la psychology au ni njaa tu. Sijui wadau wengine
 
Nyumbani kwangu nimeshapiga marufuku mtu yoyote mwenye Itikadi au mtazamo wa CCM kukanyaga.
Ole wake mwanaCCM yoyote atakayeleta pua kuingia nyumbani kwangu.
 
Namuona ni sehemu ya tatizo la nchi ambalo ni lazima liondoshwe. Wengi wao wanasema ukweli kwamba kama sio njaa wasingekuwepo huko. I hate them.
 
Makanjanja hao na hv wameamua kuanzisha kuuwa watz ili wabaki madarakani basi.......nikiona mwanasisiemu yeyote hua natema mate sbb ya kichefuchefu
 
Nyumbani kwangu nimeshapiga marufuku mtu yoyote mwenye Itikadi au mtazamo wa CCM kukanyaga.
Ole wake mwanaCCM yoyote atakayeleta pua kuingia nyumbani kwangu.

Nivigumu kubishana na mtu anayejiita ccm maana hana jipya, toka miaka ya 60 wakati wa mainframe computer had ipad, wao wanawaza yale yale.
 
Mi mtu akinambua cdm sijui namuonaje.. ? Siasa za mauaji, utekaji , udini .. wabunge classless .. umaarufu wa misibani ... Itakadi za cdm hizi so hues nashangaa mtu akiropoka yeye cdm
 
kama ananufaika kupitia hiko chama hakuna shida,lakin kama anaish maisha mabovu apo nitamshangaa
 
Mimi binafsi sipendi hata kusikia jina hilo hasa baada ya mauaji na mateso rukuki kwa waTZ na pia nafahamu kuwa CCM ni maficho ya watu wengi. Kuna wengi hasa wafanyabiashara wako ccm kwa ajili ya ulinzi na usalama wa biashara zao ambazo wengi wanakwepa kodi kwa kivuli cha ccm. Ukipita sehemu nyingi zizojihusisha na biashara mbovu utakuta imetundikwa bendera ya ccm ili wasikamatwe. ccm kimekuwa ni kijiwe cha wahuni. Polisi wakifika hapo wanakusanya mgawo wao wanasepa. ccm ni janga la kitaifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom