NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Poa takufundisha nikipata fursa keshonifundishe best
Poa takufundisha nikipata fursa keshonifundishe best
Harufu yake nzuri sana, mke wangu anatumia hii!Natumia lotion razak, soap dettol, oil vatka.
Eti pilau🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤣🤣🤣🤣kwa wale ambao wanadhani ukitengeneza mafuta ya nazi kisha ukaweka mdalasini, hiliki, karafuu au kimoja wapo, eti utanukia kama pilau laa hasha!
Weka pichadiva fademilk mixed na clere cocoa butter..,niko na light skin soft wadada wanajigonga gonga tu wanafkir nina hela kumbe wese tu limekubal
picha...hiyo hapoWeka picha
unachanganya kwa ratio gani.itabidi niyatafutediva fademilk mixed na clere cocoa butter..,niko na light skin soft wadada wanajigonga gonga tu wanafkir nina hela kumbe wese tu limekubal
tafuta diva fademilk ya chupa inauzwa elf kumi changanya na hyo clere cocoa butter...ili kuifanya inukie vizur alaf kuifanya iwe nying..kwa ratio mim naweka chupa moja ya diva kweny bakul alaf napima hyo clere kwa kutumia chupa ya diva hyo hyo yenyew naweka chupa mbil..napaka sana ucku..wiki tu ngoz utaona inanawili alaf hyo kitu haina madhara haina chemical za sumu zilizopigwa ban