Mshikemshike
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 421
- 208
Naogea sabuni ya manjano napaka lotions ya Oliver oil
Natumia Sabuni yoyote nayoikuta bafuni.
tengeneza mwenyewe ndo utafaidi hayo ya mombasa ovyo tuNapaka mafuta ya nazi minara naogea sabuni ya ozona vimenisaidia uso angalau kua vizuri. Nina wiki mbili toka nianze kuvitumia
Natengenezaje?tengeneza mwenyewe ndo utafaidi hayo ya mombasa ovyo tu
Hii inafaa kwa ngozi yenye mafuta? Inauzwa kiasi gani Mamy??Garnier ni nzuri sana, ninayo ya Shea butter na fresh gel (kwa ajili ya kusafisha uso)
waooh!hongeraDuuh! Una "aleji" kama mimi nini?
Me pia natumia sabuni hizo kama nikibadili ni dettol, kinyume na hapo ni majanga.
Mafuta ya nazi (nitangeneza mwenyewe, naweka na karafuu+mdalasini+hiliki)
jinsi ya kuweka kikolombwezo chochote ktk mafuta yako-:mafuta ya nazi huwa unayawekeaje hvo vikorobwezo dear? mimi nayatumia tu hivohivo
MVUTO!kweli karafuu ni nzuri sana ngoja nitaweka
ila iliki inasaidia nini kwenye ngozi?
nakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana
YA AINA IPI KATI YA ORGANIC AU INFUSSION MKUUMafuta ya Ndimu the best
Poa kwa nadharia unaweza kuelewa?nifundishe best
hahaheheeeee haya weee!mi hata jina sijawahi kulisoma , nikitaka kununua huwa naenda na buku dukani na chenji inarudi