Unajipaka mafuta gani mwilini?

nakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana
 
mafuta ya nazi huwa unayawekeaje hvo vikorobwezo dear? mimi nayatumia tu hivohivo
jinsi ya kuweka kikolombwezo chochote ktk mafuta yako-:
CHUKUA MAFUTA YA NAZI KIASI UPENDACHO,
WEKA KATIKA JAGI LA CHUPA AMBALO LINAMFUNIKO,
CHAGUA VIKOLOMBWEZO UNAVYO VIPENDA,
TUMBUKIZA NDANI YA JAGI LENYE MAFUTA YA NAZI FUNGA VIZURI,
ACHA VILALE HUMO USIKU MZIMA,ASUBUHI TOA VIKOLOMBWEZO TAYARI UTAKUWA UMETENGENEZA MAFUTA YAKO UNIQUE NA MAZURI!
 
nakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana

nifundishe best
 
Back
Top Bottom