mkushiOg
Member
- Feb 17, 2024
- 52
- 122
Hellow JF Members,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba maoni ya wadau. Unakuta mwenza ni mgumu sanaa kupokea ushauri hata wa kawaida tu na pale mambo yanapomuendea kombo juu ya jambo ulilomshauri anakurudia na anataka mshiriki wote kutatua.
Mfano anaweza fanya maamuzi ya kununua kitu fulani ukamwambia may b hapo siyo pazurii au hicho kitu unachotaka kununua kwa sasa hakina uhitaji mkubwa coz tuna mahitaji haya na hayaa ya msingi zaidii ni anakua mkaidi na kununua then kikiharibika anataka uchangie katika matengenezo nk.
Mfano mwingine mnaweza mkawa na ujenzi A unaendelea ghafla akaanzisha ujenzi B unamshauri kuwa hiyo pesa ya ujenzi B n heri tukamalizie kwanza ujenzi A then ndo uanzane na project B but atakaza fuvu ataenda anza ujenzi B mara paap pesa zinakataa hamna kitu ambacho kimekamilika as angemalizia ujenzi A basi hata mngepangisha then pesa ambazo zingepatikana hapo kutoka A zingeanza project B.yaan mifano ni mingi sanaaa sijui ni anakuwa na utemi ndani yake sielewi.
Naomba ushauri unadeal vipi na mtu wa tabia za mfanano huo??
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba maoni ya wadau. Unakuta mwenza ni mgumu sanaa kupokea ushauri hata wa kawaida tu na pale mambo yanapomuendea kombo juu ya jambo ulilomshauri anakurudia na anataka mshiriki wote kutatua.
Mfano anaweza fanya maamuzi ya kununua kitu fulani ukamwambia may b hapo siyo pazurii au hicho kitu unachotaka kununua kwa sasa hakina uhitaji mkubwa coz tuna mahitaji haya na hayaa ya msingi zaidii ni anakua mkaidi na kununua then kikiharibika anataka uchangie katika matengenezo nk.
Mfano mwingine mnaweza mkawa na ujenzi A unaendelea ghafla akaanzisha ujenzi B unamshauri kuwa hiyo pesa ya ujenzi B n heri tukamalizie kwanza ujenzi A then ndo uanzane na project B but atakaza fuvu ataenda anza ujenzi B mara paap pesa zinakataa hamna kitu ambacho kimekamilika as angemalizia ujenzi A basi hata mngepangisha then pesa ambazo zingepatikana hapo kutoka A zingeanza project B.yaan mifano ni mingi sanaaa sijui ni anakuwa na utemi ndani yake sielewi.
Naomba ushauri unadeal vipi na mtu wa tabia za mfanano huo??