Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Watu wapole wengi huwa na hasira sana kwa sababu hawapendagi kuelezea hisia zao. Wanawake tunamaliza hasira zetu kwa kuongea sana. Huyo wako ipo siku atakuja kukufanyia kitu kibaya kwa sababu ukimuumiza huwa anajifanya kama she is okay ila she is hurt. Ningekua mimi ndo wewe nisingeweza kuwa na mtu asienionyesha husia zake. Kununa wote tunanuna ila hilo suala la ukimya linatisha.
Sasa huwa mnakaaje kama anafurahi dakika 5 nyingine zote mnuno mkuu?
 
Watu wapole wengi huwa na hasira sana kwa sababu hawapendagi kuelezea hisia zao. Wanawake tunamaliza hasira zetu kwa kuongea sana. Huyo wako ipo siku atakuja kukufanyia kitu kibaya kwa sababu ukimuumiza huwa anajifanya kama she is okay ila she is hurt. Ningekua mimi ndo wewe nisingeweza kuwa na mtu asienionyesha husia zake. Kununa wote tunanuna ila hilo suala la ukimya linatisha.
Sasa huwa mnakaaje kama anafurahi dakika 5 nyingine zote mnuno mkuu?
Mpaka sasa kavunja simu 5 there is no strong reason kwa nn amevunja
 
Wanawake walio wengi na haswa walio bahatika kupata Elimu kidogo kuanzia level ya Degree 1 wamekuwa na misimamo sana ila ukimpata huyo cha msingi ni kumuonyesha msimamo wako mapema kwa kadiri iwezekanavyo...Maana ukiyumba kidogo inakula kwako mazima...
Umepotea sana mkuu. Pasaka njema.

Binadamu yeyote unatakiwa kuelekezana tokea mwanzo umwelewe nawe akuelewe iinachotokea kuishi kwa kuigiza
 
Mkuu nahisi atakuwa na usonji ( msongo wa mawazo) kama sio sasa hivi amepitia mambo magumu na kutisha ktk maisha yake yanayompelekea kuwa na usonji!!! Kama tayari unaishi nae muone mtaalamu wa saikolojia amfanyie canceling, usipolitibu mapema kutokana na tabia yake ya usiri na ukimya unaweza kumkwaza bila ww kujua akaamua kujiua!!! Kuwa makini kidogo Mkuu!!!
 
Back
Top Bottom