Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Unaishi vipi na mwanamke wa aina hii?

Yaani huu Uzi ni wangu Mimi kila kitu, Nina shida mwenzenu hata sijui nifanyaje ila shida ni mgonjwa wa depression, naombeni msaada inbox Kama utaweza
 
Yaani huu Uzi ni wangu Mimi kila kitu, Nina shida mwenzenu hata sijui nifanyaje ila shida ni mgonjwa wa depression, naombeni msaada inbox Kama utaweza
Kama nimeweza kuishi na huyu nadhani naweza kukusaidia wacha nilale kwanza
 
Ukiona mwanamke wa aina hiyo ujue kama sio uzuri wake basi kajua weakness yako mkuu maybe unampenda sana ndio maana unakuta ata lifestyle anabadilisha anajiweka kununa sana ili apate kukuona uboya wako unapombembeleza na pia anajua akisema kitu uwezo wako ni mdogo wa kupinga na ata kama ukipinga basi utalegeza ndio maana anakuwa na nguvu ya kuwa na msimamo
 
Ukiona mwanamke wa aina hiyo ujue kama sio uzuri wake basi kajua weakness yako mkuu maybe unampenda sana ndio maana unakuta ata lifestyle anabadilisha anajiweka kununa sana ili apate kukuona uboya wako unapombembeleza na pia anajua akisema kitu uwezo wako ni mdogo wa kupinga na ata kama ukipinga basi utalegeza ndio maana anakuwa na nguvu ya kuwa na msimamo
Ok mkuu nipe techniq sasa
 
Back
Top Bottom