Ndio wee walete huku wateja wapo wengi tuu. Na hiyo misambwannda yao mbona hela nje njekwaiyo nifunge dangulo au?
Ndio wee walete huku wateja wapo wengi tuu. Na hiyo misambwannda yao mbona hela nje njekwaiyo nifunge dangulo au?
Sijawaona huku kila mtu yu busyWapo wengi Canada,double check.
Oooooh ndo maana.Mkiweka mtawaponza, watakamatwa na kurudishwa bongo.
Nipe VIN number.NATAKA ENGINE YA 1NC C.C 1,500 NIPATIE BEI NILIPIE MKUU
Wewe umeliza wangapi?KUNA MTU LAZIMA ALIZWE HAPA 🤔
Sawa bossWewe umeliza wangapi?
Kwa sasa bongo 99% vipodozi ni feki na siku ikija og ikafanya vizuri sokoni haiwezi kutoboa mwezi kabla haijavamiwa na mafonkong ikaotezwa kabisa nchi ya hovyo sana hiiNaomba lotion au mafuta wanayopaka wadada wa huko bondeni, make wana rangi flani ya maana sana......
Adress yangu nakupm jina uandike Eve
Mbn sasa unrestrict response pm mimi ntakupataje unipe kaziUngoja tuone wangapi watanipa kazi.
Tafakari kabla ya kutenda.Sawa boss
Agiza huku boss.Kwa sasa bongo 99% vipodozi ni feki na siku ikija og ikafanya vizuri sokoni haiwezi kutoboa mwezi kabla haijavamiwa na mafonkong ikaotezwa kabisa nchi ya hovyo sana hii
Mwaka 2018 aina nyingi sana ya vipodozi ilikuwa haijafika bongo lakini kwa sasa ni vingi sana na vyote ni feki
Heeeeee utukome, wanaume weupe ni waremboSema dada wa bongo wanapenda masela weupe mwambie jamaa awalete masela coloured wa CapeTown
Siyo kweli hao wa xhosa ni kitu kingine huo muonekano wa hao warembo ni kitu tofauti kabisaWale ni khoisans aka hottetonts.Ni rangi zao za asili.Wewe kula mapanki kwa wingi hadi uwe cheupe-dawa.
Jiridhishe kabla ya.Siyo kweli hao wa xhosa ni kitu kingine huo muonekano wa hao warembo ni kitu tofauti kabisa
Kampuni Gani?Nashida na Juice pamoja na wine kubwa za lita 5.
Nitakujiu nikipata.Solar panels za ARTSolar 550W mbili na Kunda Sumersible solar water pump ya 1hp.