Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,833
- 24,203
Ok naweza pata matunda
Matunda kama yapi?Ok naweza pata matunda
Unawashwamwanamke ni mzurisana hongera sana mtokowetu ule sikujutia gharama zile nilizolipa
Uone kama itafaa kwa faida ya members au sioNitumie ni kaague mimi kwanza...
Members hawapati kitu...Uone kama itafaa kwa faida ya members au sio
Google pixelSimu Gani?
Google pixel 5/6/7 AU Pro?Google pixel
Biozyme Powder, au Bio-Zyme
Biozyme Powder, au Bio-Zyme,Kg 1 Kg 5 au kg 25?
Ushauri: Unaweza kuwa kweli wewe ni mfanyabiashara halali na sio tapeli, ila namna ulivyojinadi au kujitangaza hapa inaleta shaka. Yaani upo simple lakini haupo clear.
Huna jina rasmi la biashara au kampuni, barua pepe, anuani wala website. Unaelekeza tuu ya ofisi zipo, mara pale, mara huku, na namba ya simu yenye ya South.
Hutopata mtu namna hii, utaletewa comedy tuu hapa JF.
Tractor Ford!Vingi sana,wewe unataka nini usema unahitaji nini, hata bure usione aibu sema nakutumia.
Wewe ndio wa kwanza kisikia unawapenda wanaume weusi...Heeeeee utukome, wanaume weupe ni warembo
Tall, dark...au basiWewe ndio wa kwanza kisikia unawapenda wanaume weusi...
Nivigum sana kuwaelewa ninyii watu😂 😂
7Google pixel 5/6/7 AU Pro?
Naona ... Inamaana maelezo hayana mwisho sema ukaona uishie hapoTall, dark...au basi
😃😃😃ama hakika wewe ni Chizi MaarifaUna provide mtu anachotaka au una fanya usahili? Unadhani kuna nini watu wanachotaka huko na huku hamna?