Unahitaji nini kutoka South Africa?

Unahitaji nini kutoka South Africa?

Naomba lotion au mafuta wanayopaka wadada wa huko bondeni, make wana rangi flani ya maana sana......

Adress yangu nakupm jina uandike Eve
Huwezi amini ndio walivyo waa south Africa ukikutana na indigenous wa huko alivyo mweupe utanshaaga alafu akikuambia yeye ni mweusi ndio utachoka.


Sema dada wa bongo wanapenda masela weupe mwambie jamaa awalete masela coloured wa CapeTown
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom