Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 559
- 1,008
Unamaanisha chasis number auNipe VIN number.
Unamaanisha chasis number auNipe VIN number.
Nitumie demu mkali wa Kizulu
Toa maelezo nyoofu ya kueleweka wengine hatuulizi ila tunapata majibu kupitia utakavyojibu wengineInategeme na aina ya mzigo.
Utakua n makalio laini kama wao na kuanza kuyachezesha chezesha...Naomba lotion au mafuta wanayopaka wadada wa huko bondeni, make wana rangi flani ya maana sana......
Adress yangu nakupm jina uandike Eve
VW CNE Hello. WV1ZZZ2HZDA018533Za Engine gani?
Ndo nataka iwe hivo, na nitatuma video kwa faida ya membersUtakua n makalio laini kama wao na kuanza kuyachezesha chezesha...
Nitumie ni kaague mimi kwanza...Ndo nataka iwe hivo, na nitatuma video kwa faida ya members
Hapana,kwenye body kuna kakibao kana taarifa muhimu za Gari.Unamaanisha chasis number au
Nalifanyia kazi nitakupa majibu.Vitambaa vya kadeti na vitambaa vya jinsi ya dark green vinapatikana huko? Bei kwa jora ni kiasi gani?
Simu Gani?Nataka simu 😊
Swali:Nikiagiza mzigo leo napata baada ya mda gani boss,mfano ukiagiza Motor Grader mchakato wa kulinunua na kulisafirisha hadi likufikie ni tofauti ukilinganisha na mtu alieagiza kioo cha simu, au betri ya Simu.Toa maelezo nyoofu ya kueleweka wengine hatuulizi ila tunapata majibu kupitia utakavyojibu wengine
Ukisema inategemea ndiyo nini sasa toa na mifano ya hicho kinachotegeme
mwanamke ni mzurisana hongera sana mtokowetu ule sikujutia gharama zile nilizolipaUnatutumia zawadi?
Digital used kalisaa za digital mpya au used?