AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,426
- 1,402
Matapeli hawachelewi kuja.....nahisi hio kazi ni ya waledi sio ya kujivunia kama wanahisi watu wengi .....ni kama kazi ya uwalimu,kujitolea japo kunamshahara .....kikubwa uadilifu eti
Matapeli hawachelewi kuja.....nahisi hio kazi ni ya waledi sio ya kujivunia kama wanahisi watu wengi .....ni kama kazi ya uwalimu,kujitolea japo kunamshahara .....kikubwa uadilifu eti
Kabisa mkuu hizo za unajua mimi ni nani au subiri nikuonyeshe,ndio style wanayofanya kina ANDAKAVA Ole Sabaya na Bashite kuwapiga fedha wafanyabiashara....stye hiyo hiyo enzi za JK ndio Teeth walikuwa wanatumia kuwaliza/kuwapiga watu mipunga.Umenena vema mkuu, wanufaika wa TISS ni wale wapigaji enzi za ‘unanijua mi nani’... watu kama mleta mada ndo wanapigwa kwa kuwashobokea.
100% True walipata fedha kimagumashi tu kwa kutumia Makonda Style au Ole Sabaya Style.Yes, enzi za JK walikua na pesa nyingi mno na fedha zao huwa wanapata za kimagendo, I mean kwa kuwatishia wafanyabiashara wakubwa wa nchini kuwa watawaandikia ripoti mbaya but all in all ni wizi kama wizi wingine tu, so wengi wao walijenga kwa mgongo huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Connection tu mkuu ndio maana kuna "Mabumunda" mengine yapo TEETH hayana maadili yakishalewa yanaanza kutoa bastola na vitambulisho au yakishaona mademu yanaanza "MISIFA's CAMP" ya kujimwambafy.Uadilifu...... Hahahahaha
Labda kipindi cha mwalimu
Siku hizi ni connection ndio ina determine, na mara nyingi ni connection ya kifamilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mjinga!
MTOTO WA NYOKA ANAKUWA NYOKA SIO??Uadilifu...... Hahahahaha
Labda kipindi cha mwalimu
Siku hizi ni connection ndio ina determine, na mara nyingi ni connection ya kifamilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa waingereza wenye pua kama kitumbua na rangi za buti ushauri hautolewi kabisaKwa kiingereza kichafu kama hiki huna cha kunishauri.
Kuna dogo (Mvulana) yupo 1st year Mzumbe 2019/20, div 1 form four na form six, anasoma IT, ni mtu wa dojo sana,Mchamungu, ananidhamu ya hali ya juu sana, wazazi wake wote ni wa TZ wa mikoa ya kati ya TZ. anapenda sana kufanya kazi hii.1.kuna wanaosema unaweza kuwa spotted na kuwa recruited toka ukiwa mdogo kwa maana shule ya msingi au sekondari ukweli wa hili upoje?
2. Na vipi ikiwa hukupata fursa hiyo ukiwa mdogo lkn wakagundua kuwa wewe i potential ukiwa umri umeenda say 40 yrs and above?
3. Je unaweza kutumiwa na idara hii bila mwenyewe kujifahamu?..yaani unaweza kuwa nao na kuwafanyia kazi bila mwenyewe kujijua?
Kuna dogo (Mvulana) yupo 1st year Mzumbe 2019/20, div 1 form four na form six, anasoma IT, ni mtu wa dojo sana,Mchamungu, ananidhamu ya hali ya juu sana, wazazi wake wote ni wa TZ wa mikoa ya kati ya TZ. anapenda sana kufanya kazi hii.
Kama kuna muhusika humu anayeweza kumsaidia, ani PM nimtumie namba yake.
Kwa hakika taifa halitojutia kumtumia.
[/QUO
unamaanisha dojo ?mcheza karate huyo?.......umetaja. Mahala husika mmmm....Kuna dogo (Mvulana) yupo 1st year Mzumbe 2019/20, div 1 form four na form six, anasoma IT, ni mtu wa dojo sana,Mchamungu, ananidhamu ya hali ya juu sana, wazazi wake wote ni wa TZ wa mikoa ya kati ya TZ. anapenda sana kufanya kazi hii. Oky watapita
Kama kuna muhusika humu anayeweza kumsaidia, ani PM nimtumie namba yake.
Kwa hakika taifa halitojutia kumtumia.
Mrembo...nimekumiss[emoji8]Jamani wewe kaka ni muongo sana. Wapo watu wengi tu wanaajiriwa wakiwa above 25.
Ni vile tu wanaangalia ni wapi kuna uhitaji halafu wanatafuta mtu ku replace haraka tu.
Isingekuwa hivyo baadhi ya wachungaji wasingekuwa wana usalama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza kufunguka. Kuwa na kifua.He used to come to my place. Aliniambia mwenyewe na nilikuja thibitisha baada ya kuona ID yake na kuna baadhi ya trips za Mh. nilikuwa namuona nae yupo, I think yupo kwenye escort team na blah blah nyingi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndugu yako ni afisa usalama hamuwezi kufanana lifestyle mkuuHaina uhuru hata, na iko very risk. Nna ndugu yangu yuko huko, inshort hua hatumuelewi lifestyle yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeap,D
unamaanisha dojo ?mcheza karate huyo?.......umetaja. Mahala husika mmmm....
Yani zamani ilikua unaweza kaa miaka miwili kama mpenzi mtazamaji tu[emoji2].Imekuwa rahisi kila mtu kujiunga dah kipindi kile najiunga nilipata taabu kweli na Kama mtu sio mvumilivu palikuwa panakushinda humu.
Ila siku hizi naona wanajiunga mpaka watoto, majambazi, mashoga, wasagaji, wapumbavu na malofa aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23]Kweli kuna secret na confidential
Ni kweeeli huwa humuelewi?? Kwani umeshamuona ana makovu? Maana kijana yeyote mtundu lazima atakuwa na makovu ya vidonda, I only bet!Haina uhuru hata, na iko very risk. Nna ndugu yangu yuko huko, inshort hua hatumuelewi lifestyle yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukidate nao utafurahia maisha hasa ukipata a guy ambaye anajua kutoa pesa 🙂100% True walipata fedha kimagumashi tu kwa kutumia Makonda Style au Ole Sabaya Style.
Miss you too, nitakuona hivi karibu bebe😘Mrembo...nimekumiss[emoji8]