Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Habarini wakuu.

TISS huanza kurecruit safu yake kwa vijana wakiwa na umri mdogo sana. But ukiwa kati ya miaka 20 mpk 25 lazima ujijue , ujulikane na ujue majukumu ya kazi yako.

Ukiona upo upo tu mpaka 25 years , jua kwamba wewe haupo huko , hufai na hautakuja kufaa. Wewe ni rejected material.

Huwezi kupelekwa huko wakati brain yako ishaharibiwa na ugumu wa maisha na harakati za kijinga huko mtaani ; maulevi , ukahaba , usela mwingi , tabia mbaya na mropokaji usiye na hekima na kazi.


Hivyo we pambana kivingine tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekuambia anataka iyo kazi nani ?
Wewe jizungumzie mwenyewe uko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu.

TISS huanza kurecruit safu yake kwa vijana wakiwa na umri mdogo sana. But ukiwa kati ya miaka 20 mpk 25 lazima ujijue , ujulikane na ujue majukumu ya kazi yako.

Ukiona upo upo tu mpaka 25 years , jua kwamba wewe haupo huko , hufai na hautakuja kufaa. Wewe ni rejected material.

Huwezi kupelekwa huko wakati brain yako ishaharibiwa na ugumu wa maisha na harakati za kijinga huko mtaani ; maulevi , ukahaba , usela mwingi , tabia mbaya na mropokaji usiye na hekima na kazi.


Hivyo we pambana kivingine tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ipi hio hii ya kujaza watoto wa makada uvccm Kama sehemu ya ajira na sio intelligence
 
Ni ngumu kumlazimisha mtu aamini unachosema upo sahihi kwa 100%. Most of them wanaishi maisha ya kawaida sana. Sio kazi nzuri mtu kutamani kuifanya, hauna uhuru ktk maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haina uhuru hata, na iko very risk. Nna ndugu yangu yuko huko, inshort hua hatumuelewi lifestyle yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kitu kingine wana maisha ya kawaida tu maana hata mshahara wao si mkubwa kivile.

I used to date this one guy kipindi cha nyuma, bila kuwa na visafari vya hapa ni hakuna kitu sema ndio hivyo visafari wanavyosafiri na Raisi ndio wanapatiamo viposho vya kuja kusumbua watu mjini.

All in all TISs is overated.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuambia yeye mwenyewe au uligundua tu mwenyewe kuwa huyu jamaa ni TISS..Maana story za vijiweni ni kuwa huwezi kujua huyu mtu anafanya kazi gani
 
Halafu kitu kingine wana maisha ya kawaida tu maana hata mshahara wao si mkubwa kivile.

I used to date this one guy kipindi cha nyuma, bila kuwa na visafari vya hapa ni hakuna kitu sema ndio hivyo visafari wanavyosafiri na Raisi ndio wanapatiamo viposho vya kuja kusumbua watu mjini.

All in all TISs is overated.

Sent using Jamii Forums mobile app
Isiwe umedate na "ANDAKAVA" aka IGO SIRII akasema yeye ni "TEETH"....Maana TEETH ya JK wengi walikuwa na mipunga......Wamejenga maghorofa kibao.
 
Alikuambia yeye mwenyewe au uligundua tu mwenyewe kuwa huyu jamaa ni TISS..Maana story za vijiweni ni kuwa huwezi kujua huyu mtu anafanya kazi gani
He used to come to my place. Aliniambia mwenyewe na nilikuja thibitisha baada ya kuona ID yake na kuna baadhi ya trips za Mh. nilikuwa namuona nae yupo, I think yupo kwenye escort team na blah blah nyingi tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isiwe umedate na "ANDAKAVA" aka IGO SIRII akasema yeye ni "TEETH"....Maana TEETH ya JK wengi walikuwa na mipunga......Wamejenga maghorofa kibao.
Nop, He is not an undercover hata kwa TV nilikua namuona pia. Alikuja niboa pale nilipogundua ana *** other ladies out there nikaona si mtu sahihi kwangu, kwa moyo mmoja nikaamua muacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He used to come to my place. Aliniambia mwenyewe na nilikuja thibitisha baada ya kuona ID yake na kuna baadhi ya trips za Mh. nilikuwa namuona nae yupo, I think yupo kwenye escort team na blah blah nyingi tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umemuona "ANDAKAVA" aka IGO SIRII WA TEETH wa JAMUHURI ya MUUNGANO UPELEZI wa Ndani?
TEETH ID.png
 
TEETH wenye maisha mazuri ni wapigaji,matapeli,wezi kwa kutumia mwamvuli huo,miaka ya JK walitusua sana ila kwasasa TEETH hawana kitu maana ANKALI naye ana TEETH wake wa kuwachunguza TEETH wa awamu ya nne hivyo nao wanaogopa kupiga!!.

Ukiwa TEETH roho mkononi muda wowote unakutwa kwenye MTARO unaelea.

Umenena vema mkuu, wanufaika wa TISS ni wale wapigaji enzi za ‘unanijua mi nani’... watu kama mleta mada ndo wanapigwa kwa kuwashobokea.
 
Habarini wakuu.

TISS huanza kurecruit safu yake kwa vijana wakiwa na umri mdogo sana. But ukiwa kati ya miaka 20 mpk 25 lazima ujijue , ujulikane na ujue majukumu ya kazi yako.

Ukiona upo upo tu mpaka 25 years , jua kwamba wewe haupo huko , hufai na hautakuja kufaa. Wewe ni rejected material.

Huwezi kupelekwa huko wakati brain yako ishaharibiwa na ugumu wa maisha na harakati za kijinga huko mtaani ; maulevi , ukahaba , usela mwingi , tabia mbaya na mropokaji usiye na hekima na kazi.


Hivyo we pambana kivingine tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kama vile mtu usipopata huu kazi umekosa jambo la maana sana.
 
HUku nilipo nakaa nao kibao na tunakunywa nao kahawa na biere na wana mijengo ya maana!!! ila kwa sasa tia maji kuna mmoja ghorofa lake mwaka wa 3 huu hajapiga plasta!! kaezeka tu wala hata grill hajaweka.
Yes, enzi za JK walikua na pesa nyingi mno na fedha zao huwa wanapata za kimagendo, I mean kwa kuwatishia wafanyabiashara wakubwa wa nchini kuwa watawaandikia ripoti mbaya but all in all ni wizi kama wizi wingine tu, so wengi wao walijenga kwa mgongo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom