Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Fafanua zaidi mkuu
Kama ilivyo CIA. Ni shirika lakin si la kiraia. Ni shirika la upelelezi.
TISS ni shirika la upelelezi, Ila ndani yake kuna paramilitary elements. Paramilitary element ni nini? Ni element za kijeshi ndani ya taasisi.. nikimaanisha kuwa ndani ya taasisi.. kuan vitengo maalumu ambavyo vinafanya kazi za kijeshi.
Wenzetu wanaziita direct action elements. Kazi zao kubwa.. ni kuteka, sabotage, ku provide ulinzi kwa viongozi wa nchi, assasinations, kushirikiana na vyombo vingine vya usalama pale panapohitajika intervation za kijeshi..
Waajiriwa katika vitengo hivi wanakuwa wana background za kijeshi.. former TPDF au member wa TPDF bado yuko jeshini.. ila wanamtumia kwa kazi maalumu.
Wengine ni makomando kutoka jeshini.. then huongezewa ujuzi zaidi .. field craft. Then wanakuwa deployed.
 
Kama ilivyo CIA. Ni shirika lakin si la kiraia. Ni shirika la upelelezi.
TISS ni shirika la upelelezi, Ila ndani yake kuna paramilitary elements. Paramilitary element ni nini? Ni element za kijeshi ndani ya taasisi.. nikimaanisha kuwa ndani ya taasisi.. kuan vitengo maalumu ambavyo vinafanya kazi za kijeshi.
Wenzetu wanaziita direct action elements. Kazi zao kubwa.. ni kuteka, sabotage, ku provide ulinzi kwa viongozi wa nchi, assasinations, kushirikiana na vyombo vingine vya usalama pale panapohitajika intervation za kijeshi..
Waajiriwa katika vitengo hivi wanakuwa wana background za kijeshi.. former TPDF au member wa TPDF bado yuko jeshini.. ila wanamtumia kwa kazi maalumu.
Wengine ni makomando kutoka jeshini.. then huongezewa ujuzi zaidi .. field craft. Then wanakuwa deployed.
Kabisa mkuu
 
Kama ilivyo CIA. Ni shirika lakin si la kiraia. Ni shirika la upelelezi.
TISS ni shirika la upelelezi, Ila ndani yake kuna paramilitary elements. Paramilitary element ni nini? Ni element za kijeshi ndani ya taasisi.. nikimaanisha kuwa ndani ya taasisi.. kuan vitengo maalumu ambavyo vinafanya kazi za kijeshi.
Wenzetu wanaziita direct action elements. Kazi zao kubwa.. ni kuteka, sabotage, ku provide ulinzi kwa viongozi wa nchi, assasinations, kushirikiana na vyombo vingine vya usalama pale panapohitajika intervation za kijeshi..
Waajiriwa katika vitengo hivi wanakuwa wana background za kijeshi.. former TPDF au member wa TPDF bado yuko jeshini.. ila wanamtumia kwa kazi maalumu.
Wengine ni makomando kutoka jeshini.. then huongezewa ujuzi zaidi .. field craft. Then wanakuwa deployed.
Aisee daaah
 
Naomba nimalizie kwa kusema Kila mtu anaweza kuwa afisa usalama hata asiyejua kusoma na kuandika hata mbowe hata makonda hata ww unayesoma huu uzi lengo ni wamiliki nchi kufanikisha malengo yao, sio ww uisadie nchi ,chagua moja ujiunge nao wakutumie ww ukidhi mahitaji yako au lengo ni nn hasa kutaka kuwa afisa think twice hutakuwa huru.
 
Naomba nimalizie kwa kusema Kila mtu anaweza kuwa afisa usalama hata asiyejua kusoma na kuandika hata mbowe hata makonda hata ww unayesoma huu uzi lengo ni wamiliki nchi kufanikisha malengo yao, sio ww uisadie nchi ,chagua moja ujiunge nao wakutumie ww ukidhi mahitaji yako au lengo ni nn hasa kutaka kuwa afisa think twice hutakuwa huru.
Unachagua KWA tz hii uko unaingiaaa she wewe kama ww
 
Kwa mwenye uelewa hivi Tanzania kuna private intelligence company?
 
Hivi kuna mtu anahisi kuchaguliwa TISS ni bahati??
Mimi hata wakisema wananipa nini siwezi fanya hizo kazi ...
Mwenzangu TISS n bahat c wote watskuwa huko..ukoo mzma wenu hmn hata mmoja yupo huko..its for heaven sent
 
Back
Top Bottom