Dogo una akili fupi.
Hujui lolote kuhusu hilo. Vyombo vya Usalama huwa vinaajiri kutokana na matakwa ya Idara ya Usalama kwa wakati husika.
Namna ya kuajiri huwa ni tofauti sana na sasa hivi, ndo maana hata JKT wanaenda kuchukua watu na wanachukua wengi tu kila mwaka.
Zile zama za kumchukua mtu tangu akiwa anasoma secondary haipo tena, haipo tena kwa sehemu kubwa kama zamani.
Na hii inatokana na utandawazi na kuponyoka kwa maadili, leo hii mtoto wa sekondary kuleak mambo yake ni kitu kidogo saana tofauti na zamani.
Kwa sasa Idara imejitahidi kila mahari kuweka watu wao, sana sana jeshini, polisi, mavyuoni n.k
Huwa huwa wanapendekeza majina kwenda kwa maafisa waandamizi, after that ndo vetting zinaanza, na sio wote pia wanafanyiwa vetting mpka kwenda majumbani kwao.
Kwahiyo wapo wanaoingia ktk hiyo Idara mpka wakiwa 28-32 pia inadepend na Idara inamtaka mtu gani wakati huo.
Harafu Mkuu usiishi maisha ya kukaririshwa, most of wanatamani watoke.
Hivi unajua ktk vyombo vya ulinzi na usalama hao watu hata hawapewi nafasi kubwa sana? Wanaopewa heshima kubwa ni jeshi, polisi na hao ndo wanafuata.
Sent using
Jamii Forums mobile app