Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Nitasoma baadae ninakiamini kilicho andikwa kabla hata ya kusoma....i wll be back
 
Ni kweli kabisa mkuu, hapa tupo kwajili ya kujifunza upo sahihi, ila siwezi kufunguka zaidi hapa mkuu, nimejalibu kuwaonya tu wanapofatilia nyuzi kama hizi wawe makini sana nawaona hao viumbe wamezagaa hum ndani ila nikipata mda mkuu ntaandika zaidi.
vip chief bado hujapata muda tu??? utupe madini mzee
 
The bold usalama wa taifa na ujasusi ni mambo mawili tofauti kabisa. Espionage na state security are two separate phenomenon.

I'll be back.....
Mama mkubwa,
Rekebisha hapo kwenye red ili isomeke hivi:
usalama wa taifa na ujasusi ni mambo mawili tofauti kabisa. Espionage na state security are two separate phenomena
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
KWENYE MASUALA YA SIASA HAPO SASA, NADHANI UNGEJBU KUWA KAMA AMBAVYO WAPO VIJIWEN, SOKON N.K BASI WAPO PIA KWENYE VYAMA VYA SIASA. SUALA LA KUSEMA AFISA USALAMA HAFUNGAMAN NA CHAMA SYO KWELI MKUU
 
mm nina tatizo ila mara nyingi nimekuwa nikiwajua watu wengi wa usalama mtaani, kwenye mabar na baadhi ya maofisi ya umma na private bila wao kunimambia.
wapo ambao ni smart sana hususani wazee 57+ old ila vijana wengi kwenye issues za brain siyo humu kwenye mtandao tunavyo wasifu ni rahisi sana ku wa outsmart
uzuri mm nipo fit sehem nyingi nyeti hata kwenye tech labda niamue tu kuweka trace zangu na wengi hapa ndo hawawezi. ukinitafuta utanipata ila nitajua tu na hutopata unachotaka bila ww kujua.
 
km kichwa cha habari kinavo jieleza kw mtu anaejua au anaweza nisaida serious naomba anifate pm .sababu za kutaka kazi hii na kw sababu naipenda hii kaz sana na mzarendo wa inchi yangu
 
km kichwa cha habari kinavo jieleza kw mtu anaejua au anaweza nisaida serious naomba anifate pm .sababu za kutaka kazi hii na kw sababu naipenda hii kaz sana na mzarendo wa inchi yangu
Kuwa na wtu wa kukuunga nao. Ila ni lazima utaanza kama nyoka wao.
Ingia JKT, kama nafasi zitatoka. Huenda kule kuunga wanaowakuta.
Ukiwa kule usiangalie hali za wnaokuja kukufanyia interview, huwa wanakuja wakiwa rough sana.
Ungana nao hivyo hivyo.
Kwa sababu, viongozi wengi wa Nchi ii hutoka TISS.
 
Unataka kuwa "iziraeli"? Lazima utakuwa na roho mbaya
 
jiunge na UVCCM uanze kufanyishwa kazi za watu wasiojulikana, ukifuzu utaingizwa huko tiss.
 
Kuwa na wtu wa kukuunga nao. Ila ni lazima utaanza kama nyoka wao.
Ingia JKT, kama nafasi zitatoka. Huenda kule kuunga wanaowakuta.
Ukiwa kule usiangalie hali za wnaokuja kukufanyia interview, huwa wanakuja wakiwa rough sana.
Ungana nao hivyo hivyo.
Kwa sababu, viongozi wengi wa Nchi ii hutoka TISS.
Kosa la kwanza kabisa linalokutoa knock out ni hili la kuomba kazi kwenye mitandao ya jamii. Kwa kuanza tu na kushindwa kwako ni hapa unapoonekana kuwa utakuwa Afisa Usalama wa mitandaoni.

Mtu sahihi kwa kazi yetu ni kuhakikisha kuwa unafanya mambo mema na yenye kutumia akili kuanzia utotoni na huko shuleni kwa tabia halisi uliyozaliwa nayo.

Kwa mtandao mpana wa kazi ile ni lazima watakunusa na kukuchukua. Kama kote huko ulipita na hawakukuelewa njia nyingine ni kuitendea vyema jamii yako unayoishi nayo na uwe na uwezo wa kuhimili mikiki mikiki ya maisha.

Umri wako, uzima wa afya yako, mwelekeo wa elimu yako (soma vizuri""mwelekeo"") na Uhalali wa uraia wako ndizo zinazokupa au kutokupa kazi yetu na wala siyo kwa kutumia mitandao ili kila mtu akujue kuwa na wewe unataka!
 
ahsante sana mkuu kwa makala nzur.

Kwa upande wangu tangia nikiwa shule ya msingi mpaka nafika sekondari, ndoto zangu kuu zilikuwa ni kuwa mwanasheria au la polisi lakin baada ya kukua na kupanuka kimawazo nilitokea kuipenda hiyo kazi.

lakin hadi sasa ninapoandika huu Uzi hakuna kazi ninazozichukia (kutokana na mwenendo wa ufanyaji kaz na malalamiko mengi ya wananchi ongeza na utafiti nilioufanya kwa miaka 5 sasa) huku bado nazipenda (kutokana na uhalisia wa ufanyaji Kaz wake katika nchi kama ilivyokakusudiwa wakat idara hizi zinaundwa)

napenda sana kufanya kazi katika idara hzi lakin hata kama itatokea kupata chance , naapa siwezi kufanya kazi hizo, ni bora kufa maskin kuliko kujiingiza katika Nazi hizo hasa kwa miaka ya hivi karibun!
 
Back
Top Bottom