Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

Nafurahia ndoa yangu tena mpaka najiuliza kwa nini sikua naye hapo kabla

Nina mume mashallah, siishi kuomba Allah ampe umri mrefu na atupe kila lenye heri

Imani yake, hofu ya Mungu aliyonayo, mkarim, mpole, muelewa, mcheshi na kila anionapo sina raha hufanya chochote at least nitabasam tu na hua napenda kumsikia kila anaposhukuru,"alhamdulillah, ya Allah kwa zawadi ya mke huyu" mie hapo ubavuni tabasam lote meno yote 32 nje kuona mume wangu anashukuru kua na mke kama mimi ni wazi ni chaguo lake

Raha sana mkiwa lenu ni moja, raha sanamiwa mnawaza mawazo ya kimaendeleo vile mnatoa mawazo kila mtu nakiri mume wangu namimi hatujakamilika lakini hua ananifanya nijione nimekamilika,
 
Hongera sana madam....I wish you all the best Dada.
Nafurahia ndoa yangu tena mpaka najiuliza kwa nini sikua naye hapo kabla

Nina mume mashallah, siishi kuomba Allah ampe umri mrefu na atupe kila lenye heri

Imani yake, hofu ya Mungu aliyonayo, mkarim, mpole, muelewa, mcheshi na kila anionapo sina raha hufanya chochote at least nitabasam tu na hua napenda kumsikia kila anaposhukuru,"alhamdulillah, ya Allah kwa zawadi ya mke huyu" mie hapo ubavuni tabasam lote meno yote 32 nje kuona mume wangu anashukuru kua na mke kama mimi ni wazi ni chaguo lake

Raha sana mkiwa lenu ni moja, raha sanamiwa mnawaza mawazo ya kimaendeleo vile mnatoa mawazo kila mtu nakiri mume wangu namimi hatujakamilika lakini hua ananifanya nijione nimekamilika,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafurahia ndoa yangu tena mpaka najiuliza kwa nini sikua naye hapo kabla

Nina mume mashallah, siishi kuomba Allah ampe umri mrefu na atupe kila lenye heri

Imani yake, hofu ya Mungu aliyonayo, mkarim, mpole, muelewa, mcheshi na kila anionapo sina raha hufanya chochote at least nitabasam tu na hua napenda kumsikia kila anaposhukuru,"alhamdulillah, ya Allah kwa zawadi ya mke huyu" mie hapo ubavuni tabasam lote meno yote 32 nje kuona mume wangu anashukuru kua na mke kama mimi ni wazi ni chaguo lake

Raha sana mkiwa lenu ni moja, raha sanamiwa mnawaza mawazo ya kimaendeleo vile mnatoa mawazo kila mtu nakiri mume wangu namimi hatujakamilika lakini hua ananifanya nijione nimekamilika,
Hongera sana! Allah awadumishe and I hope some members hawatodhani kwamba unajionyesha au unajisifia.

Other ladies can learn from you maana ndoa sio kutia mkono kizani kama wengi wasemavyo.
 
Wala sina sababu ya kujionesha na hata ingekua siyafrahii ningesema tu, shukran sana na aamyn inshallah
Wallah billah kuna muda namuuliza hivi hukua unaniona before ukachelewa namna hii jibu lake kubwa ni muda hua ananambia wakat ulikua bado sasa hivi ndio wakati sahihi sjawah kujutia kuolewa naye japo changamoto na kutoelewana hapa na pale huwepo haijaondoa mapenzi wala furaha ya kua na mwanaume sahihi na mume kuanzia duniani mpaka akhera inshallah kikubwa ni uvumilivu tu, kuyaishi na kuyamezea madhaifu ya mwenzangu, kusikilizana kupendana kuthaminiana na kuzidi kumtumainia Allah
Hongera sana! Allah awadumishe and I hope some members hawatodhani kwamba unajionyesha au unajisifia.
Other ladies can learn from you maana ndoa sio kutia mkono kizani kama wengi wasemavyo.
 
Nafurahia ndoa yangu vilivyo, I am one of the luckiest and happiest guy when we talk about relationship.

I met my wife when I was in form five and married her some 7 fucking years later. In between I met too many girls but she was special and unique. She is my sapphire (open and loud).

She is that religious, she knows her God and fear him as well. Yeye ni Lulu ambayo Niko tayari kufanya lolote lakini nisimpoteze. Haimaanishi kwamba ndio siongei na wadada wengine, NO! I do, big times but yeah my wife is special.

Nshawahi kuamka saa nane usiku nkamkuta kakaa kwenye mswala analia, nkajifanya kama nimelala maana moyo ulinishtuka sana. Kumuuliza baadae imekuwaje bibie ananiambia nimeona msg zako ulizokuwa unachat na flani, imeniuma sana mume wangu nkaamua niamke nimuombe Allah akulinde mume wangu. I cried a lot na kuomba msamaha tele tele.

Kutokana na kazi zetu tunalazimika kukaa mbali mbali kama 55kms hivi mpaka Friday ndio tunakuwa pamoja, kwa namna anavyonipenda na kunijali amenishauri mara kadhaa kwa nini nisioe mke wa pili ili nisipate tabu?? Well, it reached a point nkaona inafaa kuoa mke wa pili kwa sababu za kidini zaidi. Hapo kwenye kitafuta mke sasa, manungaembe watupu na naona Bora nsioe nisije nkamletea mke wangu zimwi ndani bureeee.

Amenichanganya, ananikanga roho, ndio maana nafanya nifanyalo kila end of year mtoto lazima nimpeleke mamtoni.

Acha niishie hapa hebu
Mkuu you are blessed, option aliyokupa ni kipimo tosha kwako...If I were you siwezi hata kuwaza mke wa pili ktk mazingira hayo.
Ulioa mtoto kutoka markaz nini ( joke)

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Wala sina sababu ya kujionesha na hata ingekua siyafrahii ningesema tu, shukran sana na aamyn inshallah

Wallah billah kuna muda namuuliza hivi hukua unaniona before ukahelewa namna hii jibu lake kubwa ni muda hua ananambia wakat ulikua bado sasa hivi ndio wakati sahihi sjawah kujutia kuolewa naye japo changamoto na kutoelewana hapa na pale huwepo haijaondoa mapenzi wala furaha ya kua na mwanaume sahihi na mume kuanzia duniani mpaka akhera inshallah kikubwa ni uvumilivu tu, kuyaishi na kutamezea madhaifu ya mwenzangu, kusikilizana kupendana kuthaminiana na kuzidi kumtumainia Allah
Such strong words from a wonderful wife. Usije badilika tu, mpende mumeo na Allah awafanyie wepesi katika ndoa yenu.
 
Mkuu you are blessed, option aliyokupa ni kipimo tosha kwako...If I were you siwezi hata kuwaza mke wa pili ktk mazingira hayo.
Ulioa mtoto kutoka markaz nini ( joke)

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
And I seek protection from God, waja mahasidi sana hahahahahahaahahh.

Mkuu nlidhani utaniambia nifanye sunnah kuliko kuhangaika na misambwanda ya mjini (jokes).

Sheikh Markaz ya fuoni hiyo hahahaaja
 
And I seek protection from God, waja mahasidi sana hahahahahahaahahh.

Mkuu nlidhani utaniambia nifanye sunnah kuliko kuhangaika na misambwanda ya mjini (jokes).

Sheikh Markaz ya fuoni hiyo hahahaaja
Mkuu, without offence with such a wife hiyo 'misambwanda' ya nini sasa?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mimi nimempigia simu leo kumwelezea aniandalie nguo Nina Safari kesho, kanijibu nammalizia chai.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom