Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

namuombea sana mpaka wakati mwengine nahisi Mungu alinileta kwake kwa kusudi fulani,kila nikitaka kumwacha moyo unakataa kabisa penzi langu kwake limejawa na huruma iliyopitiliza,kunawakati namtumia msg au nampigia wala hapokeagi kabisa simuyangu akiona nasumbua sana atajibu niko ofisini,lakini rafikiyake atanambia leo wala hajaamka kalala ndani siku ya 5 leo hajatoka,mimi naamini iko siku Mungu atamrudisha huyu bwana ktk ubinadamu na akisharudia ubinadamu mimi hata nikimwacha naamini nitaweza kustahmili mana atakuwa mzima mana hata nguvu za kiume hana ila naamini zitarudi tu,niko ktk mahusiano ya ajabu mno yasiyonipa furaha zaidi ya simanzi na uchungu wa kilasiku na bwana huyu hajali moyowake umetokea kuwachukia tu wanawake nahisi huwa akiniangalia ananiona walewale tu,naamini siku moja ataamani pana wanawake wanaopendwa kikweli pia ataamini kuwa yeye ni wa thamani na anaweza kupendwa tu pamoja na haliyake ya kudharaulishwa na mkewe siyo hoja kuwa yeye hastahili kupendwa wapo watakaompenda na kumheshimu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh jmn ila kuusu nguvu za kiume apime kisukari kama hana bc muulize kama anapiga punyeto kama hafanyi inawezekana ni tatizo la kisaikoloji au mkewe kamfanyia ivyo ila naisi hataki kuwa na wanawake sababu ya nguvu za kiume anaona kama unamuinjoy tu ila tiba zipo na nyingine ni nyepesi kabisa haiitaji ata kutumia pesa kuwa naye karibu mshauri Muende hospitali akapime kwanza kabla ya kutumia dawa za tiba mbadala pole sana mamy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
my dear kuhusu hili la nguvu wala sitothubutu kuongea naye mana kwanza namwogopa haongeagi na mimi kabisa nikisema ni mnyama namaanisha ni mnyama,akija kwangu ni dk 30 anaondoka na hataki story,tena huja usiku sana wala sijui huwa anawaza nn hadi kuja kwangu siwezi kuandika vituko vya huyu bwana hapa,niongee hata nilie hatojibu kitu ataniangalia tuu hata nilalamike vipi hatojibu neno atanitizama tuu,mwanzo sikumwelewa nikaona hanipendi nikaona mateso nikaamua kumwacha na kumblock akatumia simu ya rafiki yake akaniuliza mbona namwacha bure kakosa nn akaomba nimzoee ndivyo alivyo,sasa nikamweleza rafikiyake kuwa huyu bwana ana visa mimi cwezi zaidi nimechoka kwanza hapokei simuyangu haongei hanijibu msg yupo tu rafiki ananambia shemeji mvumilie huyu mtu mfariji tu kwa kipindi hiki akikaa sawa ndo umwache,ana hali mbaya mno,ndo huyo rafikiyake akanieleza mambo mengi yaliyompata ambayo hyu bwana hakuwahi hata kunigusia akanambia mvumilie ana shida
Duh jmn ila kuusu nguvu za kiume apime kisukari kama hana bc muulize kama anapiga punyeto kama hafanyi inawezekana ni tatizo la kisaikoloji au mkewe kamfanyia ivyo ila naisi hataki kuwa na wanawake sababu ya nguvu za kiume anaona kama unamuinjoy tu ila tiba zipo na nyingine ni nyepesi kabisa haiitaji ata kutumia pesa kuwa naye karibu mshauri Muende hospitali akapime kwanza kabla ya kutumia dawa za tiba mbadala pole sana mamy

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
my dear kuhusu hili la nguvu wala sitothubutu kuongea naye mana kwanza namwogopa haongeagi na mimi kabisa nikisema ni mnyama namaanisha ni mnyama,akija kwangu ni dk 30 anaondoka na hataki story,tena huja usiku sana wala sijui huwa anawaza nn hadi kuja kwangu siwezi kuandika vituko vya huyu bwana hapa,niongee hata nilie hatojibu kitu ataniangalia tuu hata nilalamike vipi hatojibu neno atanitizama tuu,mwanzo sikumwelewa nikaona hanipendi nikaona mateso nikaamua kumwacha na kumblock akatumia simu ya rafiki yake akaniuliza mbona namwacha bure kakosa nn akaomba nimzoee ndivyo alivyo,sasa nikamweleza rafikiyake kuwa huyu bwana ana visa mimi cwezi zaidi nimechoka kwanza hapokei simuyangu haongei hanijibu msg yupo tu rafiki ananambia shemeji mvumilie huyu mtu mfariji tu kwa kipindi hiki akikaa sawa ndo umwache,ana hali mbaya mno,ndo huyo rafikiyake akanieleza mambo mengi yaliyompata ambayo hyu bwana hakuwahi hata kunigusia akanambia mvumilie ana shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu unaye lala naye na kama mmeshakaa zaidi ya miezi 6 ukimwambie anaweza kasirika ila ukimsisitizia ataanza kukuelewa taratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tuna miaka 2 kipenzi ila ndoivo mtu huyu ni waajabu haongeagi kabisa kwa uzoefu wangu hata nikimwambia nitakuwa naongea tu mwenyewe na hatonijibu kitu kama ambavyo hufanya nikimwambia chochote hunyamaza kimya kama kiziwi
Mtu unaye lala naye na kama mmeshakaa zaidi ya miezi 6 ukimwambie anaweza kasirika ila ukimsisitizia ataanza kukuelewa taratibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doto,
Pole kwa yote, inamaana kwa miaka miwili hamjawai kushiriki tendo? Maana yangu ni kujua umejuaje kuwa hana nguvu za kiume? Je mlipima afya?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Nafurahia ndoa yangu tena mpaka najiuliza kwa nini sikua naye hapo kabla

Nina mume mashallah, siishi kuomba Allah ampe umri mrefu na atupe kila lenye heri

Imani yake, hofu ya Mungu aliyonayo, mkarim, mpole, muelewa, mcheshi na kila anionapo sina raha hufanya chochote at least nitabasam tu na hua napenda kumsikia kila anaposhukuru,"alhamdulillah, ya Allah kwa zawadi ya mke huyu" mie hapo ubavuni tabasam lote meno yote 32 nje kuona mume wangu anashukuru kua na mke kama mimi ni wazi ni chaguo lake

Raha sana mkiwa lenu ni moja, raha sanamiwa mnawaza mawazo ya kimaendeleo vile mnatoa mawazo kila mtu nakiri mume wangu namimi hatujakamilika lakini hua ananifanya nijione nimekamilika,
Kila la kheri Bibie.
Mpendane milele vingine ni majaaliwa.
 
Mimi nafurahia mahusiano yangu.
Siri pekee ni mimi na mpenzi wangu /Mume wangu ni marafiki. Muda mwingi tunataniana kama marafiki wa kawaida.

Mbali na kazi , Baadhi ya biashara tunafanya pamoja na kujikuta muda mwingi tunakuwa pamoja.

Siyo mkali na hapendi kutawala, ni msikivu na mwelewa na mwenye upendo. Hamna jukumu la mwanamke au la mwanaume ndani ya nyumba, chochote anakifanya na mimi pia ( isipokuwa hakifanyiki).

Hakuna siri za kuficha ficha hii ni pamoja na simu, password zake zote ninazo na wakati mwingine simu yake naitumia kama yangu na yangu kama yake ( isipokuwa simu za kazi).

Ni mwanaume ambaye ukiniuliza kwa sasa yupo wapi najua alipo na ana mipango gani najua kwa sababu kila kitu tunapanga pamoja.

Nampenda sana kwa sababu ni mahusiano ambayo nilikuwa nayatamani sana. Na mwisho kabisa ni HANDSOME NA GENTLEMAN.

Sitaki kuwaza kwamba anani cheat kwa sababu hiyo hainihusu, kinachonihusu ni kwamba ananipenda na nina mpenda na tunaheshimiana.
 
Mhh mimi hayo mambo nilishayaachaga...napiga na kusepa tu....sema napiga wanaojileta tu...!!na nnaoona hwana future

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbka utapata wa kufanana naww.Mungu wetu ni wa haki, km unawafanyia ivo, kumbuka unaweza kuoa alotumika na alieumizw sana japo hutajua.pia unaweza kupata mtt wa kike na akafanyiwa hayohayo.Malipo hapahapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafurahia ndoa yangu tena mpaka najiuliza kwa nini sikua naye hapo kabla

Nina mume mashallah, siishi kuomba Allah ampe umri mrefu na atupe kila lenye heri

Imani yake, hofu ya Mungu aliyonayo, mkarim, mpole, muelewa, mcheshi na kila anionapo sina raha hufanya chochote at least nitabasam tu na hua napenda kumsikia kila anaposhukuru,"alhamdulillah, ya Allah kwa zawadi ya mke huyu" mie hapo ubavuni tabasam lote meno yote 32 nje kuona mume wangu anashukuru kua na mke kama mimi ni wazi ni chaguo lake

Raha sana mkiwa lenu ni moja, raha sanamiwa mnawaza mawazo ya kimaendeleo vile mnatoa mawazo kila mtu nakiri mume wangu namimi hatujakamilika lakini hua ananifanya nijione nimekamilika,
Ndo yule yule uliyekutana nae hapa Arch..?
 
Mimi nafurahia mahusiano yangu.
Siri pekee ni mimi na mpenzi wangu /Mume wangu ni marafiki. Muda mwingi tunataniana kama marafiki wa kawaida.

Mbali na kazi , Baadhi ya biashara tunafanya pamoja na kujikuta muda mwingi tunakuwa pamoja.

Siyo mkali na hapendi kutawala, ni msikivu na mwelewa na mwenye upendo. Hamna jukumu la mwanamke au la mwanaume ndani ya nyumba, chochote anakifanya na mimi pia ( isipokuwa hakifanyiki).

Hakuna siri za kuficha ficha hii ni pamoja na simu, password zake zote ninazo na wakati mwingine simu yake naitumia kama yangu na yangu kama yake ( isipokuwa simu za kazi).

Ni mwanaume ambaye ukiniuliza kwa sasa yupo wapi najua alipo na ana mipango gani najua kwa sababu kila kitu tunapanga pamoja.

Nampenda sana kwa sababu ni mahusiano ambayo nilikuwa nayatamani sana. Na mwisho kabisa ni HANDSOME NA GENTLEMAN.

Sitaki kuwaza kwamba anani cheat kwa sababu hiyo hainihusu, kinachonihusu ni kwamba ananipenda na nina mpenda na tunaheshimiana.
Hongera
 
afya tumepima ni mzima tatizo ule uwezo wa kawaida wa kiume hana naogopa kuandika undani hasa mambo yalivyo hapa ktk public ila kiukweli ni tatizo sana
Doto,
Pole kwa yote, inamaana kwa miaka miwili hamjawai kushiriki tendo? Maana yangu ni kujua umejuaje kuwa hana nguvu za kiume? Je mlipima afya?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
afya tumepima ni mzima tatizo ule uwezo wa kawaida wa kiume hana naogopa kuandika undani hasa mambo yalivyo hapa ktk public ila kiukweli ni tatizo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, my worry ni kuwa pengine ni muathirika na anakulinda kwa style hiyo.
Pole sana ndugu you shall overcome.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
afya tumepima ni mzima tatizo ule uwezo wa kawaida wa kiume hana naogopa kuandika undani hasa mambo yalivyo hapa ktk public ila kiukweli ni tatizo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu huyo n mgonjwa mtibu akipona waweza kumuacha na Mungu atakubariki sanaaa kwa sababu ukimuacha katika halo iyo ataweza kujiua kwa kuona dunia imemtenga.
 
Back
Top Bottom