Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako na kimapenzi, Ndoa,Urafiki,Ama unajutia.????

Kama ndiyo kwa nini ?

Hapana kwa nini ?

Ninyi wenye mahusiano yaliyofanikiwa ni Mambo gani/Hatua mlizopitia mpaka kufurahia mahusiano yenu.

Mnaojutia mli/Mmekosea wapi mpaka mnajutia?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja wazinifu waje kukupa uzoefu wao

wali nazi maharage nazi
 
Wazinifu utawajua tu watapeleka fikra kwenye uzinifu nakuidownload picha
FB_IMG_1554098790452.jpeg


wali nazi maharage nazi
 
😜😜😜😜😜😜😜 hunitakii mema weye! Watu wasiojulikana wanakusanya data zangu kwa hiyo kuzianika hapa ni hatari kubwa kwangu. But I can’t complain LIFE IS GOOD.



BAK ina maana haujaoa wewe? Au mke wako ni "wa hovyo hovyo"?? Sifia hata girlfriend.
Hebu tupe yanayojiri na sisi tushawishike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mkuu if you are really happy.
Nakumbuka one time tumepishana kwenye threads zako kama 3 za wewe kumsifu a good friend of yours, promising to give her everything there is to offer in this world.
I told you, you pressed it wrong, too fast for it to work out.
New year ulikuja na thread ya maadhimio ya mwaka mpya, promising to be good to your wife and so. Nakumbuka issue ya side chick na girls in JF who took you for granted.
And then, there was that thread in Feb, which I thought you had made it and you are online.
Unfortunately, readind this from you, inaniambia kwamba you are somehow relaying information to her that you are trying to move forward.
I know how it feels to be turned down, na in a way of comforting ourselves we call names to those who turn their backs to us.
Najua as good as you are, you probably have approached a good number of girls hapa JF, so neno Manungayembe linaenda moja kwa moja kwa wahusika humu.
That is very insensitive of you.
Ushauri: Try to be confidential man, siyo all girls watafurahi matangazo ya kuji-expose kwa relationship ambayo bado iko on initial stages, wengine hata upper stages.
Jaribu kujitahidi kutopenda kuanika taarifa zako zote hivyo, some of us read too much into these, na si wote watakushangilia hapa wanamaanisha.
Hope am as clear as I wanted to be clear.
No hard feelings man.
Broo I wish to come through each and every line of your post, but why?? We do differ on how we analyse things and approach them.

Believe me, I told you back then, telling you now and will tell you tomorrow that I pressed it alright.

You are over thinking and that's not good for your health bro.

It will reach a time, we will know each other and until then you will know what and who I am.

No hard feelings hommie
 
Broo I wish to come through each and every line of your post, but why?? We do differ on how we analyse things and approach them.
Believe me, I told you back then, telling you now and will tell you tomorrow that I pressed it alright.
You are over thinking and that's not good for your health bro.
It will reach a time, we will know each other and until then you will know what and who I am.
No hard feelings hommie

Thank you.

Ila bosi nikushauri kitu kimoja kikubwa, punguza kuifanya hii kama notice board ya maisha yako.

Watu wanakusoma, wanatake advantage ya weakness ambayo wanainote kwenye wanachokisoma.

Ila pia, don't be too judge to our women in here, these names like Manungaembe, Mazimwi, Side Chicks are very degrading.

As a person who have girls that I appreciate in here it pains to see them labelled with those kind of names.

Appreciate the experience and move into the next one.

Confidentiality is the secret to this game.

Thanks.
 
Ngoja nisikilize huu wimbo kwanza .
Unaogopa nini? Kama maisha mazuri turingishie tuu[emoji13][emoji13]hamna wa kukukamata.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] hunitakii mema weye! Watu wasiojulikana wanakusanya data zangu kwa hiyo kuzianika hapa ni hatari kubwa kwangu. But I can’t complain LIFE IS GOOD.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha nikifunguka hapa kuhusu watu wasiojulikana utabaki mdomo wazi. Mie mwenyewe huwa nikihadithiwa juhudi zao nabaki mdomo wazi. Hivyo ni bora tu kutojianika kupita kiasi ila watu wasiojulikana na wana juhudi kubwa kuwanyamazisha wale wote wanaowaona ni tishio kwenye udhalimu na udikteta wao.

Wanataka wote tukae kimya na mimi nilishaamua kutokaa kimya huku nikiona nchi yetu inavurugwa na hawa wahuni.

Ngoja nisikilize huu wimbo kwanza .
Unaogopa nini? Kama maisha mazuri turingishie tuu[emoji13][emoji13]hamna wa kukukamata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom