Unafurahia mahusiano yako?

Unafurahia mahusiano yako?

Nafurahia ndoa yangu vilivyo, I am one of the luckiest and happiest guy when we talk about relationship.

I met my wife when I was in form five and married her some 7 fucking years later. In between I met too many girls but she was special and unique. She is my sapphire (open and loud).

She is that religious, she knows her God and fear him as well. Yeye ni Lulu ambayo Niko tayari kufanya lolote lakini nisimpoteze. Haimaanishi kwamba ndio siongei na wadada wengine, NO! I do, big times but yeah my wife is special.

Nshawahi kuamka saa nane usiku nkamkuta kakaa kwenye mswala analia, nkajifanya kama nimelala maana moyo ulinishtuka sana. Kumuuliza baadae imekuwaje bibie ananiambia nimeona msg zako ulizokuwa unachat na flani, imeniuma sana mume wangu nkaamua niamke nimuombe Allah akulinde mume wangu. I cried a lot na kuomba msamaha tele tele.

Kutokana na kazi zetu tunalazimika kukaa mbali mbali kama 55kms hivi mpaka Friday ndio tunakuwa pamoja, kwa namna anavyonipenda na kunijali amenishauri mara kadhaa kwa nini nisioe mke wa pili ili nisipate tabu?? Well, it reached a point nkaona inafaa kuoa mke wa pili kwa sababu za kidini zaidi. Hapo kwenye kitafuta mke sasa, manungaembe watupu na naona Bora nsioe nisije nkamletea mke wangu zimwi ndani bureeee.

Amenichanganya, ananikanga roho, ndio maana nafanya nifanyalo kila end of year mtoto lazima nimpeleke mamtoni.

Acha niishie hapa hebu
You are the luckiest indeed. Hehehe bado natafakari what kinda woman akute next za mwanamke aende kukuombea! Man that wife Sapphire and beyond.

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Unafurahia mahusiano yako na kimapenzi, Ndoa,Urafiki,Ama unajutia.????

Kama ndiyo kwa nini ?

Hapana kwa nini ?

Ninyi wenye mahusiano yaliyofanikiwa ni Mambo gani/Hatua mlizopitia mpaka kufurahia mahusiano yenu.

Mnaojutia mli/Mmekosea wapi mpaka mnajutia?



Sent using Jamii Forums mobile app
Najutia kuingia kwenye mahusiano mpaka ikapelekea kupata mtoto na ntu mwenye matatizo rukuki mwenye wivu waajabu mwenye kiburi hasiekumbuka alikotoka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahusiano mengi siku hizi niya hovyo hovyo tu na sababu ni ubinafsi mwingi
 
mimi najutia niko na mwanaume aliyetendwa sana na mkewe,mke alikuwa malaya wa kutupwa,anafanywa mpaka na wafanyakazi wenzake na huyo bwana,akiwa mzazi wa miezi 3 tu halali ndani mtoto anamwachia dada wa kazi,mume siku akarudi home saa 8 usiku ghafla alikuwa safari kakuta mtoto anachemka homa hafai akamkimbiza hosp piga simu ya mke haipokelewi asubh mke kaamkia job saa 5 asbh ndo anacall back simu ya mumewe kumbe mume yuko hosp na mtoto,ni mengi alimfanyia mumewe huyu mwanamke hadi kumchomea mumewe nyumba saiv wameachana na mume aliachiwa watoto 2 wadogo akahangaika nao hadi sasa wanakua huyo mdogo ana miaka 4,yani huyu mwanaume kajeruhika moyoni yani hayupo romantic kabisa yuko kama mnyama najitahidi kurudisha moyowake awe kawaida lakini inakuwa vigumu mno,namvumilia coz nampenda sitomchoka naamini utafika wakati ataamini tena ktk kupendwa na atakuwa tayari kupokea penzi ninalompa,nashangaa nampendea nn ila basi tu ndo nishampenda hvyohvyo bure acha niangalie nione mwisho wake wallah huyu bwana hana jema hata moja kiujumla sifurahii kabisa kuwa nae ila moyo ndo ushaganda kwake
Unafurahia mahusiano yako na kimapenzi, Ndoa,Urafiki,Ama unajutia.????

Kama ndiyo kwa nini ?

Hapana kwa nini ?

Ninyi wenye mahusiano yaliyofanikiwa ni Mambo gani/Hatua mlizopitia mpaka kufurahia mahusiano yenu.

Mnaojutia mli/Mmekosea wapi mpaka mnajutia?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi najutia niko na mwanaume aliyetendwa sana na mkewe,mke alikuwa malaya wa kutupwa,anafanywa mpaka na wafanyakazi wenzake na huyo bwana,akiwa mzazi wa miezi 3 tu halali ndani mtoto anamwachia dada wa kazi,mume siku akarudi home saa 8 usiku ghafla alikuwa safari kakuta mtoto anachemka homa hafai akamkimbiza hosp piga simu ya mke haipokelewi asubh mke kaamkia job saa 5 asbh ndo anacall back simu ya mumewe kumbe mume yuko hosp na mtoto,ni mengi alimfanyia mumewe huyu mwanamke hadi kumchomea mumewe nyumba saiv wameachana na mume aliachiwa watoto 2 wadogo akahangaika nao hadi sasa wanakua huyo mdogo ana miaka 4,yani huyu mwanaume kajeruhika moyoni yani hayupo romantic kabisa yuko kama mnyama najitahidi kurudisha moyowake awe kawaida lakini inakuwa vigumu mno,namvumilia coz nampenda sitomchoka naamini utafika wakati ataamini tena ktk kupendwa na atakuwa tayari kupokea penzi ninalompa,nashangaa nampendea nn ila basi tu ndo nishampenda hvyohvyo bure acha niangalie nione mwisho wake wallah huyu bwana hana jema hata moja kiujumla sifurahii kabisa kuwa nae ila moyo ndo ushaganda kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!!
 
mimi najutia niko na mwanaume aliyetendwa sana na mkewe,mke alikuwa malaya wa kutupwa,anafanywa mpaka na wafanyakazi wenzake na huyo bwana,akiwa mzazi wa miezi 3 tu halali ndani mtoto anamwachia dada wa kazi,mume siku akarudi home saa 8 usiku ghafla alikuwa safari kakuta mtoto anachemka homa hafai akamkimbiza hosp piga simu ya mke haipokelewi asubh mke kaamkia job saa 5 asbh ndo anacall back simu ya mumewe kumbe mume yuko hosp na mtoto,ni mengi alimfanyia mumewe huyu mwanamke hadi kumchomea mumewe nyumba saiv wameachana na mume aliachiwa watoto 2 wadogo akahangaika nao hadi sasa wanakua huyo mdogo ana miaka 4,yani huyu mwanaume kajeruhika moyoni yani hayupo romantic kabisa yuko kama mnyama najitahidi kurudisha moyowake awe kawaida lakini inakuwa vigumu mno,namvumilia coz nampenda sitomchoka naamini utafika wakati ataamini tena ktk kupendwa na atakuwa tayari kupokea penzi ninalompa,nashangaa nampendea nn ila basi tu ndo nishampenda hvyohvyo bure acha niangalie nione mwisho wake wallah huyu bwana hana jema hata moja kiujumla sifurahii kabisa kuwa nae ila moyo ndo ushaganda kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Madam, lakini usikate tamaa katika juhudi uzifanyazo, usiache kumuombea pia
 
Maskini watu wanajeruhiwa vibaya na wapenzi
mimi najutia niko na mwanaume aliyetendwa sana na mkewe,mke alikuwa malaya wa kutupwa,anafanywa mpaka na wafanyakazi wenzake na huyo bwana,akiwa mzazi wa miezi 3 tu halali ndani mtoto anamwachia dada wa kazi,mume siku akarudi home saa 8 usiku ghafla alikuwa safari kakuta mtoto anachemka homa hafai akamkimbiza hosp piga simu ya mke haipokelewi asubh mke kaamkia job saa 5 asbh ndo anacall back simu ya mumewe kumbe mume yuko hosp na mtoto,ni mengi alimfanyia mumewe huyu mwanamke hadi kumchomea mumewe nyumba saiv wameachana na mume aliachiwa watoto 2 wadogo akahangaika nao hadi sasa wanakua huyo mdogo ana miaka 4,yani huyu mwanaume kajeruhika moyoni yani hayupo romantic kabisa yuko kama mnyama najitahidi kurudisha moyowake awe kawaida lakini inakuwa vigumu mno,namvumilia coz nampenda sitomchoka naamini utafika wakati ataamini tena ktk kupendwa na atakuwa tayari kupokea penzi ninalompa,nashangaa nampendea nn ila basi tu ndo nishampenda hvyohvyo bure acha niangalie nione mwisho wake wallah huyu bwana hana jema hata moja kiujumla sifurahii kabisa kuwa nae ila moyo ndo ushaganda kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
namuombea sana mpaka wakati mwengine nahisi Mungu alinileta kwake kwa kusudi fulani,kila nikitaka kumwacha moyo unakataa kabisa penzi langu kwake limejawa na huruma iliyopitiliza,kunawakati namtumia msg au nampigia wala hapokeagi kabisa simuyangu akiona nasumbua sana atajibu niko ofisini,lakini rafikiyake atanambia leo wala hajaamka kalala ndani siku ya 5 leo hajatoka,mimi naamini iko siku Mungu atamrudisha huyu bwana ktk ubinadamu na akisharudia ubinadamu mimi hata nikimwacha naamini nitaweza kustahmili mana atakuwa mzima mana hata nguvu za kiume hana ila naamini zitarudi tu,niko ktk mahusiano ya ajabu mno yasiyonipa furaha zaidi ya simanzi na uchungu wa kilasiku na bwana huyu hajali moyowake umetokea kuwachukia tu wanawake nahisi huwa akiniangalia ananiona walewale tu,naamini siku moja ataamani pana wanawake wanaopendwa kikweli pia ataamini kuwa yeye ni wa thamani na anaweza kupendwa tu pamoja na haliyake ya kudharaulishwa na mkewe siyo hoja kuwa yeye hastahili kupendwa wapo watakaompenda na kumheshimu sana.
Pole sana Madam, lakini usikate tamaa katika juhudi uzifanyazo, usiache kumuombea pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi najutia niko na mwanaume aliyetendwa sana na mkewe,mke alikuwa malaya wa kutupwa,anafanywa mpaka na wafanyakazi wenzake na huyo bwana,akiwa mzazi wa miezi 3 tu halali ndani mtoto anamwachia dada wa kazi,mume siku akarudi home saa 8 usiku ghafla alikuwa safari kakuta mtoto anachemka homa hafai akamkimbiza hosp piga simu ya mke haipokelewi asubh mke kaamkia job saa 5 asbh ndo anacall back simu ya mumewe kumbe mume yuko hosp na mtoto,ni mengi alimfanyia mumewe huyu mwanamke hadi kumchomea mumewe nyumba saiv wameachana na mume aliachiwa watoto 2 wadogo akahangaika nao hadi sasa wanakua huyo mdogo ana miaka 4,yani huyu mwanaume kajeruhika moyoni yani hayupo romantic kabisa yuko kama mnyama najitahidi kurudisha moyowake awe kawaida lakini inakuwa vigumu mno,namvumilia coz nampenda sitomchoka naamini utafika wakati ataamini tena ktk kupendwa na atakuwa tayari kupokea penzi ninalompa,nashangaa nampendea nn ila basi tu ndo nishampenda hvyohvyo bure acha niangalie nione mwisho wake wallah huyu bwana hana jema hata moja kiujumla sifurahii kabisa kuwa nae ila moyo ndo ushaganda kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ningumu sana kukuelewa kama alikupata ww mapema baada ya kuachana na mke wake kama akukaa ata miaka miwili toka aachane naye ni rahisi kuamini wanawake wote mko kama mkewe na ni ngumu kuweka mapenzi kipaumbele tena maana anajua maumivu aliyoyapata na penzi lenu halitapata nafuu embu muache ni ngumu ila ili kufanya penzi lenu lichipue tena mpe nafasi na kujitathimini tna siku zote watu waliopitia maumivu kwa namna yoyote iwe udogoni au kwenye mapenzi ni watu wakurudisha yale waliyofanyiwa na ndyo wanajiisi nafsi zao zimetulia japo wengi hawapendi kufanya ivyoo wanaitaji kushauriwa sana kabla ya kujiingiza kwenye mapenzi nao jaribu kuachana naye ongea naye apate ushauri kabla ya kurudiana naye utajiumiza ww zaidi na yeye hatajali anaweza ata kukupiga ukajikuta unapata majeraha c yeye ila maumivu aliyoyapata nyuma kingine jaribu kujua jimbuko la mtu mambo mengi yanatolea nyuma yani kwa mama na baba au kwa mababu nyuma

Jipende ww zaidi ukijipenda na kujidhamini utajua thamani yako Mungu akusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah ningumu sana kukuelewa kama alikupata ww mapema baada ya kuachana na mke wake kama akukaa ata miaka miwili toka aachane naye ni rahisi kuamini wanawake wote mko kama mkewe na ni ngumu kuweka mapenzi kipaumbele tena maana anajua maumivu aliyoyapata na penzi lenu halitapata nafuu embu muache ni ngumu ila ili kufanya penzi lenu lichipue tena mpe nafasi na kujitathimini tna siku zote watu waliopitia maumivu kwa namna yoyote iwe udogoni au kwenye mapenzi ni watu wakurudisha yale waliyofanyiwa na ndyo wanajiisi nafsi zao zimetulia japo wengi hawapendi kufanya ivyoo wanaitaji kushauriwa sana kabla ya kujiingiza kwenye mapenzi nao jaribu kuachana naye ongea naye apate ushauri kabla ya kurudiana naye utajiumiza ww zaidi na yeye hatajali anaweza ata kukupiga ukajikuta unapata majeraha c yeye ila maumivu aliyoyapata nyuma kingine jaribu kujua jimbuko la mtu mambo mengi yanatolea nyuma yani kwa mama na baba au kwa mababu nyuma

Jipende ww zaidi ukijipenda na kujidhamini utajua thamani yako Mungu akusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
nazingatia ushauri wako nami niliwahi kuwaza hili pia,acha nijitahidi mana maumivu ninayoyapata ktk mahusiano haya ni makubwa mno,ni kama ananilipia mimi kisasi kwa ubaya aliofanyiwa na mkewe ilhali mimi sikuwahi kumkosea kwa namna yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom