Unafikiri kisasi cha Iran kitaelekezwa wapi?

Unafikiri kisasi cha Iran kitaelekezwa wapi?

Kwan Walilotunguliwa DRONE Yao Kama Wangejibu Wangeumia Wamarekani ?!

Yaani hapo sijaona points yako Mkuu

Kuhusiana na kiduku huyo achana nae niwazi kabisa US Hamuwez Huyo Mwamba Kila Leo Anabweka Bweka 2
Wakijibu watakaokuwa wameua ni wairan sio wamarekani.
American Army liko advanced sana, kuna vipigo vitamu! Mnapigiwa mtu mmoja muhimu mnaandamana nchi nzima kama minzige.

Semeni (ayatolah) SU!

Kiduku mpaka leo anagwaya kupeleka zawadi ya Christmas aliyomuahidi Trump anajua muda wa ku dispose mabomu umefika.
Kuhusiana Na IRAN Jibu Lazma Lije 2 Linaweza Likachelewa 2 Pengne..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan Walilotunguliwa DRONE Yao Kama Wangejibu Wangeumia Wamarekani ?!

Yaani hapo sijaona points yako Mkuu

Kuhusiana na kiduku huyo achana nae niwazi kabisa US Hamuwez Huyo Mwamba Kila Leo Anabweka Bweka 2Kuhusiana Na IRAN Jibu Lazma Lije 2 Linaweza Likachelewa 2 Pengne..

Sent using Jamii Forums mobile app
The rape is inevitable!
 
Yan somalia alimpiga marekan nae? Ha ha ha haaaa

Kichekesho kikubwa ni huyu General wa kiiran kuuliwa na makoplo wa kimarekan, yan kamanda kauliwa kama kibaka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mahaba niue, Ini mkalia nyongo ni pointless ku-argue na mtu kama wewe.
And yes Marekani alishindwa vita Somalia.
 
Mtazamo wako sipingani nao kwa ujumla wake ila kuna machache ambayo naomba nipingane nayo:

Kwanza kabisa;
Sidhani kuwa unachokisema, Marekani haikifahamu. Kwamba Persians ni Wairani, ama si Waarabu? Si wanafiki! Sidhani kama maneno hayo yanafaa kuyatumia kujenga hoja juu ya uwezo wa Iran kijeshi.

Umeandika kuwa Irani ina uzoefu wa vita ila kumbuka kuwa hata Marekani pia ina uzoefu mkubwa tu wa vita tena vya mbali na nyumbani.

Isitoshe, uzoefu pekee hautoshi. Kuna mambo mengine mengi ambayo ni ya msingi katika kulifanya jeshi la nchi husika liwe imara zaidi.


Si kweli!

Isitoshe uwezo wa nyambizi katika modern warfare ndilo jambo la msingi zaidi kuliko idadi kubwa.

Mfano, idadi kubwa ya Submarines za Irani ni Mini-Submarines ambazo uwezo wake hauwezi kulingana na Submarines za mataifa makubwa kama Marekani, Urusi na Uchina au hata Uingereza, Ufaransa n.k.
Hili la unafiki lina umuhimu sana lisome katikati ya mstari.
Pia kwasababu USA ni kubwa basi ndo Iran awe underestimated, Vita hupangi upigwe wapi na iran anao uwezo wa kupeleka vita nyumbani kwa mmarekani.(Ambako sidhani kama anauzoefu wa maeneo yake kushambuliwa kama anavyo fanya kwenye nchi za wenzake)

Najua submarines za US kiteknologia zipo juu mfano ni nuclear powered but point yangu ni hata kama Iran wanatumia Diesel powered subs haimaanishi haziwezi kuleta madhara zikiikaribia marekani.
All in all nipenda ulivyo wasilisha hoja zako.
 
Na still wakashindwa kumprotect jenerali wao hao Iran kama wapo advance kama usemavyo?
General was set up, alikua ana mkutano na waziri mkuu wa Iraq akibeba ujumbe toka Saudi Arabia.

Alisafiri na ndege ya kawaida ya abiria kuingia Iraq, habari zinasema Saudi ndio walio snitch kuhusu where abouts za Kamanda huyo.

Ni vizuri ukifuatilia kwa undani kilicho tokea prior to his murder.
 
Hao wairan watafanya tu ugaidi tena kupitia proxies kwani conventional war hawana ubavu ila akina ayatollah hawana future.
As long Trump is the President, Iran itapata wakati mgumu sana.
Trump haogopi kuwafuta kwenye ramani, mimi nina hofu na Raisi Trump anaweza akawabatiza kwa mabomu mazito ya maangamizi.
 
Back
Top Bottom