fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,919
Ok
Sent using Jamii Forums mobile app
Fidel Castro aliwahi kusema yeye alikua anapinga na marekani wakati ule kwasababu wamarekani walikua ni binadamu lakini wamarekani wa Sasa ni machine haziongei na hazijui mtu!!!..Ndio maana akamwambia Raul akubaliane na wamarekani waijenge Cuba!!..
Sent using Jamii Forums mobile app