ina maana kwa sasa wanatamalaki katika utukufu au sio ?
Marekani haitatamalaki katika utukufu tena
Jr[emoji769]
ina maana kwa sasa wanatamalaki katika utukufu au sio ?
Marekani haitatamalaki katika utukufu tena
Jr[emoji769]
Ukweli wa mambo unaonyesha Iran na marekani zote ni nchi kongwe japo Iran kongwe Sana kiumri zishapita balehe hivyo wanajua vizuri namna ya kude-escalate mambo bila kuharibu amani ya dunia kwani hata operation mantis Iran na USA walizichapa mwishowe wakamaliza mambo yao tegemea amani kule hakutakuwa na kupigana Kati ya hao watu moja kwa moja wanajijua wanachokisimamia na pia wanajuakutoa nafasi ya kumaliza mzozo.Hivi wanataka wachokozejwe?
Hivi kwa mfano wangekuwa vitani huyu Soleiman akauwawa, wangestisha vita wakamzike na kufanya maandamano nyumbano kwanza?
Askari wa marekani walipojeruhiwa na waia wawili kuuwawa, ndani ya masaa ishirini na nne USA walijibu mapigo na kuua zaidi ya wanamgambo 50.
Ubarozi wa Marekani uliposhambuliwa hapo Iraq, ndani ya masaa ishirini Soleiman akauwawa.
Siku ya nne leo, wanataka wachokozejwe?
Sasa naanza kuamini sana kwamba, ma ayatollah wameshindwa kuliendeleza lile Taifa, na hawataki kutoka madarakani hivyo wameamua kuwaraghai wananchi wake na mambo ya vita vita na vitisho dhidi ya USA.
Sababu sasa, kwa namna Wamarekani wanavyoendelea na maandalizi ya mashambulizi utadhani wao ndio wamechokozwa bwana!
Wanasubiri mashetan yawapandeHivi wanataka wachokozejwe?
Hivi kwa mfano wangekuwa vitani huyu Soleimani akauwawa, wangesitisha vita wakamzike na kufanya maandamano nyumbani kwanza?
Askari wa Marekani walipojeruhiwa na raia wawili kuuwawa, ndani ya masaa ishirini na nne USA walijibu mapigo na kuua zaidi ya wanamgambo 50.
Ubalozi wa Marekani uliposhambuliwa hapo Iraq, ndani ya masaa ishirini Soleiman akauwawa.
Siku ya nne leo, wanataka wachokozweje?
Kama unawafikiria wachina, their weaponry are un tested yet, they can not guarantee you successHawa watu wanajiita wamarekani yani siwapendi hatari.Kwanza wanatengeneza vita nchi zenye mafuta ili waibe.Yani ni wezi.
Kuna nchi zipo kimya zitamsaidia Iran ni suala la muda tu.
Ubabe wake ni zamani sio sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu linapokuja suala lakuingia vitani na taifa lingine inabidi uwe makini sasa hivi dunia nzima imeitumbulia macho Iran ikitokea ikafanya jambo ambalo litaleta madhara hasa kwa raia dunia nzima itamsakama na inaonekana marekani imeiwekea mtego ambao unahitaji akili nyingi kuuruka.
Fidel Castro aliwahi kusema yeye alikua anapinga na marekani wakati ule kwasababu wamarekani walikua ni binadamu lakini wamarekani wa Sasa ni machine haziongei na hazijui mtu!!!..Ndio maana akamwambia Raul akubaliane na wamarekani waijenge Cuba!!..Kama unawafikiria wachina, their weaponry are un tested yet, they can not guarantee you success