babamtarajiwa
Member
- May 15, 2017
- 73
- 37
hapo ndo niemamin binadamu tuko tofaut
Anatuma ndege ktk USA kuja TZ yetu kuchukuwa Wagonjwa kwenda kuwatibia USA wkt ndani ya USA kuna watu raia wa USA wanakufa wengine wanaishi kwenye madaraja kwa kushindwa kulipia matibabu, hiyo ndege ingetua New Orleans au Chicago inner city ghetto America ingefurika wagonjwa mpaka Jeshi wangekuja kuzuia...
Typical ungratefulness! Kukosa shukrani kwa kiwango cha juu sana. Au kwavile hakuwepo mwanao kwenye ajali ile?Anatuma ndege ktk USA kuja TZ yetu kuchukuwa Wagonjwa kwenda kuwatibia USA wkt ndani ya USA kuna watu raia wa USA wanakufa wengine wanaishi kwenye madaraja kwa kushindwa kulipia matibabu, hiyo ndege ingetua New Orleans au Chicago inner city ghetto America ingefurika wagonjwa mpaka Jeshi wangekuja kuzuia...
Mkumbushe tulikuwa tupeleke MADAKTARI nchini Kenya. Walipokataliwa ndipo tukaajiri. Anamaanisha hiyo ilikuwa UNAFIKI?Una umri gani? Mbona hata Tanzania tumetoa msaada wa mahindi kwa nchi jirani wakati pembezoni tu mwa Ikulu ya Magogoni kuna watu hawana chakula
Mkuu wewe nilikua nakuheshimu sana, lakini hii post yako imenisikitisha sana!!!Anatuma ndege ktk USA kuja TZ yetu kuchukuwa Wagonjwa kwenda kuwatibia USA wkt ndani ya USA kuna watu raia wa USA wanakufa wengine wanaishi kwenye madaraja kwa kushindwa kulipia matibabu, hiyo ndege ingetua New Orleans au Chicago inner city ghetto America ingefurika wagonjwa mpaka Jeshi wangekuja kuzuia...
Anatuma ndege ktk USA kuja TZ yetu kuchukuwa Wagonjwa kwenda kuwatibia USA wkt ndani ya USA kuna watu raia wa USA wanakufa wengine wanaishi kwenye madaraja kwa kushindwa kulipia matibabu, hiyo ndege ingetua New Orleans au Chicago inner city ghetto America ingefurika wagonjwa mpaka Jeshi wangekuja kuzuia...
Kaka usirukie tuu.Anatuma ndege ktk USA kuja TZ yetu kuchukuwa Wagonjwa kwenda kuwatibia USA wkt ndani ya USA kuna watu raia wa USA wanakufa wengine wanaishi kwenye madaraja kwa kushindwa kulipia matibabu, hiyo ndege ingetua New Orleans au Chicago inner city ghetto America ingefurika wagonjwa mpaka Jeshi wangekuja kuzuia...
Waliomba ajali itokee ili wafanye huo ujanja?Hawafany bure hapo. Lazma kuna kitu. Wazungu wajanja sana.