Unafiki wa Mzungu umepitiliza!

Unafiki wa Mzungu umepitiliza!

Anatuma ndege ktk USA kuja TZ yetu kuchukuwa wagonjwa kwenda kuwatibia USA wkt ndani ya USA kuna watu raia wa USA wanakufa wengine wanaishi kwenye madaraja kwa kushindwa kulipia matibabu, hiyo ndege ingetua New Orleans au Chicago inner city ghetto America ingefurika wagonjwa mpaka Jeshi wangekuja kuzuia...

Huu uzi bora ufutwe. Ni uendawazimu huu wa mleta mada!
 
Mnavyoshambulia kwa mrembo wa upinzani, kama vile nyie ndio mlioratibu huo mpango. Kumbe ni mtu wa huko huko kwenye watawala. Mbunge wenu anabaki kukimbizana na rambirambi N nafasi za kutoa heshima ya mwisho.
 
Duuuu huyoo mleta hii mada ni bonge la ndorobo yani.. Umeshindwa hata kumsema huyoo nabii wenu.. Ameshindwa hata kutowa bombardier.. Kubeba maiti za watoto wachache.. Kwenda kuzikwa mikoani kwao.. Leo unaona weupe wanafiki sio eeeeeehh [emoji115]
Wakati hizo bombardier ni pesa za walipa kodi... Bonge la pimbi yaan weeee.. Imbecile, bustards, skendoulous, moron.. Ovyo kabisa kabisa nyoooko..
 
Bonge la mshamba wee kiumbe.. Umejawa na chuki za upambe maandazi tuu.. Bwege mkubwa wee
 
Hawafany bure hapo. Lazma kuna kitu. Wazungu wajanja sana.
 
Mnavyoshambulia kwa mrembo wa upinzani, kama vile nyie ndio mlioratibu huo mpango. Kumbe ni mtu wa huko huko kwenye watawala. Mbunge wenu anabaki kukimbizana na rambirambi N nafasi za kutoa heshima ya mwisho.
Aliyekula rambirambi humjui? Au unajitoa ufahamu makusudi?
 
Siku hizi Akili za Mtu tunazipima kwa kile anachokiongea tu. Maana tushagundua Elimu mnazopata Shuleni haziwasaidii lolote.
Wivu na Kukosa kazi.
 
Ngoja ukipata tezi dume utawakimbilia hao hao wakufyatuee .....kilaza we

Ova
 
Back
Top Bottom