T-1000
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 144
- 42
ni mzee wa kazi kweli kwa jinsi alivyomaliza tembo wetuMzee wa kazi.
Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
ni mzee wa kazi kweli kwa jinsi alivyomaliza tembo wetuMzee wa kazi.
Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
ni mzee wa kazi kweli kwa jinsi alivyomaliza tembo wetu
JF siyo mali ya Chadema mwambie Dr.Slaa akawapangie misukule yake kina Matola.Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC
Ben saanane ni KIRUSI CHDM
JF siyo mali ya Chadema mwambie Dr.Slaa akawapangie misukule yake kina Matola.
Virusi vimepukutishwa vyote. Mabosi wao tumewapa siku 14
Mkuu,
Vijana wameishapotea mtoto wa kiume kaamua kujipa jina la kike, bahati mbaya njaa kali angekuwa na pesa angebadili mpaka jinsia zake.
Tatizo kubwa la Bavicha hawapatani wenyewe kwa wenyewe Bavicha Arusha ndiyo wanajiona wenye chama na Bavicha mikoani wengi ni misukule.
Ben saanane ni KIRUSI CHDM
-Sijawahi kuwasiliana na naibu mkurugenzi wa TISS
-Sijawahi kushiriki kuuza majimbo yetu ya uchaguzi
-Sijawahi kushirikiana na Naibu Katibu Mkuu CCM kumhujumu Lwakatare kwenye sakata la ugaidi fake n.k
Ben Saanane kawa threat kwa ustawi wa wasaliti na Maccm.
kwi! kwi! kwi! kwi!Ni kweli kabisa.
Hata kile kitendo cha Lema kumpora Mwigamba kompyuta yake ni uvunjifu wa sheria.
Chadema hawaheshimu sheria za nchi.
kwi! kwi! kwi! kwi!
Bavicha ndiyo wanategemea kuwa mawakala wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2015 walivyokuwa na njaa lazima watauza kura.
onyo - chadema aihujumiki ! Kama umechukua hela ya watu rudisha ! Vinginevyo utaadhirika vibaya sana !unachekelea sheria za nchi kuvunjwa!
Kweli bavicha ni janga la kitaifa!!!