ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,020
- 7,227
- Thread starter
- #61
Utafanyaje uspy pasipo regulations? Lazima ziwepo regulations za kumbana spy ili asimchochee anayemspy kufanya makosa ambayo kimsingi mpelelezwa hakua na dhamira ya kuyafanya. It was a dirt mission.
Lakini Bavicha waliiunga mkono na kuipongeza.
Kiongozi anaajiri watu wa kuspy viongozi wenzake na anawalipa watu hao kwa pesa za ruzuku ya Chama na kuwaahidi nafasi za uongozi!