TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,193
- 18,218
Mkuu,
Niombe radhi. I swear to God kunifanisha na Ben is the worst offense I have experienced here in JF.
By the way, kunifananisha na Ben haunioffend mimi tu bali thousands of people I inspire everyday.
Hapa mkuu umevuka mipaka. Mimi ni mvumilivu sana wa kashfa na kejeli lakini this is TOO MUCH.
Nadhani tatizo ushiriki wetu JF mnautafsiri ndivyosivyo. Pitia historia ushauri aliotoa chief Kunambi kwa gavana mwingereza kuhusu circular number six utaelewa why I am here.
TIMING mimi nimekuwa nakuheshimu sana pamoja na kejeli zako za hapa na pale, ila ukiendelea hivi nitalazimika kukuweka kwenye kundi la Yericko Nyerere. I am touched kwa sababu sikutegemea kama unaweza kufikia hatua ya kuniweka kiwango cha Ben. Sitashangaa siku ukisema unaamini mimi nalipwa buku saba ili niingie jf kujibu posts!!! Waache wapuuzi waseme hivyo sio wewe.
Nitake radhi tafadhali.
mdogo wangu, hata ukiniweka kundi la yericko nyerere kama niko hivyo ni sawa, na kama siko hivyo pia ni sawa maana facts will there to judge. Hata yericko anaispire a lot of people in Kigamboni, that is no excuse
Kusema ukweli kabisa, siombi radhi, wala usihangaike, because you cant judge yourself, mimi ndivyo nikuonavyo... na hii imetokana na wee kujitoa fahamu na kushuka hadi kufikia level ya akina malaria sugu, nk.... TO BE HONEST, YOU ARE THI BIGGEST DISAPPOINTMENT KWANGU... TUNAFAHAMIANA!! SIKUTAKA KUWEKA HILI BUT KILA SIKU UNAZIDI KU-DETERIORATE, AND I AM SADDENED
kuhusu kulipwa buku saba, la hasha, you are paid in kind....
My brother, take a deep look into the mirror and ask yourself, is this you? the same you?? kama wa 10-15 years ago?? what has happened??
Haya bwana, take it to the chin with a pint of salt
I am hurting seeing you puking all those stuffs na hali inazidi kuwa mbaya kila uchao