zemarcopolo kachukua lip service somewhere na sasa anaamini kaahidiwa, ni zao la wanasiasa wa zamani walioshindwa hata kujua kinondoni kama wilaya ina public owned land ya kiasi gani, ni zao la walioneemeka kupitia kwa wapishi na waramba miguu wa kambarage... hana chochote cha kusema atabenefit
in short he is an outsider to everything in the system, siasa za ccm, usalama, sekta yake ya fani aliyosomeshwa nk.
he doesnt know kwasababu ameamua kudhani he knows everything, it is sad, he was good back in the days, but whoever led him to siasa takataka ni wa kulaaniwa vikali... alikua level moja na vijana wengi tu ambao wameamua kubaki ccm lakini kuachana na uvuvuzela wa siasa za mipaho ya mitandaoni
things are changing, hata ninyi akina Ben you need to watch out, siasa ni zaidi ya majibizano yasiyo na tija, si kila hoja lazima ijibiwe, si kila uwazacho lazima kije public
it is a shame, but a very unfotrunate truth kwamba vijana hadi sasa hakuna kitu, every young Tanzanian with potential anaangukia palepale mnapoangukia, "thinking you are all that"!!!
VERY SAD FACT, AND THE WORST FOR SUCH A BEAUTIFUL AND LOVELY COUNTRY KAMA TANZANIA