UNAFIKI unatawala Bavicha...

UNAFIKI unatawala Bavicha...

Status
Not open for further replies.
Mkuu,

Kujibishana na ZeMarcopolo ni kumpa umaarufu usio na sababu!!
Hana analojua zaidi ya Umbea, Uongo, Fitina, Ulaghai, Uzandiki na Majungu juha yule!!
 
Last edited by a moderator:
Wana javi hivi hamuoni ndugu yericko nyerere anavo dhalilisha jina la baba wa Taifa..... yafaa tumuite NYENYERE
 
WanaJF,

Nimetoa majibu yangu katika Thread aliyoanzisha mtu anayejiita Zemarcopolo.Pamoja na kuwaomba Moderators wapandishe majibu yangu katika thread ile,sijaona response yoyote nami nimeamua kuchukua hatua maana Moderators niliwaandikia Inbox kabisa lakini hadi page ya 7 hakuna response.Zemarcopolo ameandika:






XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

MAJIBU YANGU

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

ZeMarcopolo na WanaJF,

Mosi,Hakuna mahali popote iwe kwenye vikao au mahali pengine nilipowahi kutamka haya yaliyoandikwa hapa.Labda mleta mada alete ushahidi hapa.JF ikiwa mleta mada hataleta ushahidi wa haya ikiwa ni pamoja na minutes za vikao achukuliwe hatua kwa kusema uongo.Nampa masaa 3 .

Pili,Tamko langu kuhusu PM-7 lipo huku.

Tatu,Kama nilipongezwa kwa kiwango anachodai mleta mada hapa sasa iweje nipewe adhabu ya kusimamishwa kugombea nafasi yoyote kwa muda wa mwaka 1 sambamba na onyo kali

Nashukuru Mungu uchaguzi haukufanyika mwaka huu kama ilivyopangwa maana ningekosa haki ya kuchaguliwa.Mipango ya Mungu si kama mipango yetu wanadamu


Nne,Naomba niweke hili very clear.Sijawahi kuwa au kutumiwa na Dr.Slaa au kiongozi yeyote wa CHADEMA kwa maslahi binafsi.

Hizi ni hoja mufilisi na visingizio vya washirika wangu wa Zamani katika mkakati haramu waliokasirishwa na kitendo changu cha kusimamia maslahi ya chama na kuwaanika hadharani baada ya mimi binafsi kufanya kazi kubwa ya kuwasihi waache mpango huo maana wangekivuruga chama


Kwa muda wa takribani siku 345 hadi leo hii wamekua wakinishambulia na kunitukana lakini mwisho wa siku walikiri kupanga njama chafu.Ukweli siku zote husimama juu ya unafiki,usaliti na njama ovu za kuuficha ukweli.Kilichotokea Alhamisi iliyopita ni Matokeo ya jitihada za ukweli uliofanikiwa kulipa kisasi baada ya kupuuzwa kwa muda mrefu

Tano,WANACHADEMA,Wapendamabadiliko na watanzania kwa ujumla nawaahidi kuendeleza mapambano na wale wote wanaozuia harakati za mabadiliko ndani na nje ya chama chetu

Nitaendelea kusimamia misingi ya chama chetu na taifa bila kuchoka hadi tone langu la mwisho la damu.Namuomba mwenyezi Mungu anipe nguvu na ujasiri katika mapambano haya.Tuwapuuze wale wote wanaojaribu kututoa katika mstari wa mapambano.

Katika harakati hizi za mabadiliko na malengo ya CHADEMA kitaasisi katika kuongoza vuguvugu hili Doctrine yangu ni 'It's either you are with us or against us'.Hakuna middleground hata kama dunia ni three dimension.Kipimo nitakachompimia msaliti yeyote wa mabadiliko haya ndani ya chama hakitakua na tofauti na kile nitakachotumia dhidi ya wapinzani na maadui wa mabadiliko nje ya chama.

CC: Invisible, Fang, Buchanan, Paw, PainKiller Moderator
Usipoteze muda wako kumpigia mbuzi gitaa. Hatakuelewa. Nimeshasema CHADEMA ni kama dhahabu hata ikipitishwa kwenye moto ni lazima itan'gara tu. Foward Ever, Backward Never.
 
Go go go comrade usirudi nyuma Mungu yuko upande wako,lumumba wanajisumbua tunakuamini na tunakupenda
 
zemarcopolo yuko kwenye mission na kwa sababu madola yale yaliyotoka NMB kwenda ujerumani na kurudi Tanzania hayajaisha ze marcopolo yupo mpaka October 2015 watakapozabwa za uso

zemarcopolo kachukua lip service somewhere na sasa anaamini kaahidiwa, ni zao la wanasiasa wa zamani walioshindwa hata kujua kinondoni kama wilaya ina public owned land ya kiasi gani, ni zao la walioneemeka kupitia kwa wapishi na waramba miguu wa kambarage... hana chochote cha kusema atabenefit

in short he is an outsider to everything in the system, siasa za ccm, usalama, sekta yake ya fani aliyosomeshwa nk.

he doesnt know kwasababu ameamua kudhani he knows everything, it is sad, he was good back in the days, but whoever led him to siasa takataka ni wa kulaaniwa vikali... alikua level moja na vijana wengi tu ambao wameamua kubaki ccm lakini kuachana na uvuvuzela wa siasa za mipaho ya mitandaoni

things are changing, hata ninyi akina Ben you need to watch out, siasa ni zaidi ya majibizano yasiyo na tija, si kila hoja lazima ijibiwe, si kila uwazacho lazima kije public

it is a shame, but a very unfotrunate truth kwamba vijana hadi sasa hakuna kitu, every young Tanzanian with potential anaangukia palepale mnapoangukia, "thinking you are all that"!!!

VERY SAD FACT, AND THE WORST FOR SUCH A BEAUTIFUL AND LOVELY COUNTRY KAMA TANZANIA
 
Zemarcopolo ana akili ni basi anajitoa ufaham,mabandiko yake anategemea yamfungulie njia ya u-DC au u-MP
 
Mkuu ben zemarcopolo hana tofauti na kiazi ulaya ambacho ukikiweka juani kinabadirika rangi na kuwa cha kijani na hakitafaa kwa matumizi au ukikiweka ndani kinaoza au kuota na jumla ya yote hakitafaa kwa matumizi so zemarcopolo ni kiazi tuuuu
 
Mods wa JF wana kazi zo zenye heshima,hata siku moja huwez kuwakuta wanahangaika na wachumia tumbo na watu waliofeli kimaisha kama wewe na yericko,nani asiewafaham humu ndan kuwa nyinyi ni watu wa kujipendekeza kwa Wilbroad Slaa kwa kutumain eti akichukua nchi basi mtapata japo kazi ya ufagiz pale ikulu??mnaota ndoto za mchana sana,

THANKS MODS KWA KUPUUZA MATAPELI KAMA HAWA,SISI TUTAWAUNGA MKONO KATIKA KUWAPIGA VITA
 
Mods wa JF wana kazi zo zenye heshima,hata siku moja huwez kuwakuta wanahangaika na wachumia tumbo na watu waliofeli kimaisha kama wewe na yericko,nani asiewafaham humu ndan kuwa nyinyi ni watu wa kujipendekeza kwa Wilbroad Slaa kwa kutumain eti akichukua nchi basi mtapata japo kazi ya ufagiz pale ikulu??mnaota ndoto za mchana sana,

THANKS MODS KWA KUPUUZA MATAPELI KAMA HAWA,SISI TUTAWAUNGA MKONO KATIKA KUWAPIGA VITA

Tapeli la gesi haitoki ukaja na gia ya watu kukuona unatetea wananchi kumbe equally ni mchumia tumbo unajipendekeza kwa Kinana nmng,oa pembe za ndovu au wassira muuaji wapinzani kwa mabomu ya kurushwa aibu nuwezi kuimba DR Slaa asubuhi mpaka usiku wa manane as if umewekwa kuwa prefect ujinga kuattack mtu mmoja tumekusoma sasa umefeli maisha kama hao unaowataja huna hoja zaidi ya book 7
 
WanaJF,

Nimetoa majibu yangu katika Thread aliyoanzisha mtu anayejiita Zemarcopolo.Pamoja na kuwaomba Moderators wapandishe majibu yangu katika thread ile,sijaona response yoyote nami nimeamua kuchukua hatua maana Moderators niliwaandikia Inbox kabisa lakini hadi page ya 7 hakuna response.Zemarcopolo ameandika:






XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

MAJIBU YANGU

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

ZeMarcopolo na WanaJF,

Mosi,Hakuna mahali popote iwe kwenye vikao au mahali pengine nilipowahi kutamka haya yaliyoandikwa hapa.Labda mleta mada alete ushahidi hapa.JF ikiwa mleta mada hataleta ushahidi wa haya ikiwa ni pamoja na minutes za vikao achukuliwe hatua kwa kusema uongo.Nampa masaa 3 .

Pili,Tamko langu kuhusu PM-7 lipo huku.

Tatu,Kama nilipongezwa kwa kiwango anachodai mleta mada hapa sasa iweje nipewe adhabu ya kusimamishwa kugombea nafasi yoyote kwa muda wa mwaka 1 sambamba na onyo kali

Nashukuru Mungu uchaguzi haukufanyika mwaka huu kama ilivyopangwa maana ningekosa haki ya kuchaguliwa.Mipango ya Mungu si kama mipango yetu wanadamu


Nne,Naomba niweke hili very clear.Sijawahi kuwa au kutumiwa na Dr.Slaa au kiongozi yeyote wa CHADEMA kwa maslahi binafsi.

Hizi ni hoja mufilisi na visingizio vya washirika wangu wa Zamani katika mkakati haramu waliokasirishwa na kitendo changu cha kusimamia maslahi ya chama na kuwaanika hadharani baada ya mimi binafsi kufanya kazi kubwa ya kuwasihi waache mpango huo maana wangekivuruga chama


Kwa muda wa takribani siku 345 hadi leo hii wamekua wakinishambulia na kunitukana lakini mwisho wa siku walikiri kupanga njama chafu.Ukweli siku zote husimama juu ya unafiki,usaliti na njama ovu za kuuficha ukweli.Kilichotokea Alhamisi iliyopita ni Matokeo ya jitihada za ukweli uliofanikiwa kulipa kisasi baada ya kupuuzwa kwa muda mrefu

Tano,WANACHADEMA,Wapendamabadiliko na watanzania kwa ujumla nawaahidi kuendeleza mapambano na wale wote wanaozuia harakati za mabadiliko ndani na nje ya chama chetu

Nitaendelea kusimamia misingi ya chama chetu na taifa bila kuchoka hadi tone langu la mwisho la damu.Namuomba mwenyezi Mungu anipe nguvu na ujasiri katika mapambano haya.Tuwapuuze wale wote wanaojaribu kututoa katika mstari wa mapambano.

Katika harakati hizi za mabadiliko na malengo ya CHADEMA kitaasisi katika kuongoza vuguvugu hili Doctrine yangu ni 'It's either you are with us or against us'.Hakuna middleground hata kama dunia ni three dimension.Kipimo nitakachompimia msaliti yeyote wa mabadiliko haya ndani ya chama hakitakua na tofauti na kile nitakachotumia dhidi ya wapinzani na maadui wa mabadiliko nje ya chama.

CC: Invisible, Fang, Buchanan, Paw, PainKiller Moderator
Nyie vijana wa bavicha mnaopenda kuwafanya moderators ni vijakazi wenu. Ni nani asiekufahamu wewe kuwa unatumika? UNADHANI HAWA MODS NI WAJINGA KAMA ULIVYO?


Adhabu ya kusimamisha kugombea mwaka mmoja ndio ina impact gani kama sio danganya toto?
 
Last edited by a moderator:
WanaJF,

Nimetoa majibu yangu katika Thread aliyoanzisha mtu anayejiita Zemarcopolo.Pamoja na kuwaomba Moderators wapandishe majibu yangu katika thread ile,sijaona response yoyote nami nimeamua kuchukua hatua maana Moderators niliwaandikia Inbox kabisa lakini hadi page ya 7 hakuna response.Zemarcopolo ameandika:






XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

MAJIBU YANGU

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

ZeMarcopolo na WanaJF,

Mosi,Hakuna mahali popote iwe kwenye vikao au mahali pengine nilipowahi kutamka haya yaliyoandikwa hapa.Labda mleta mada alete ushahidi hapa.JF ikiwa mleta mada hataleta ushahidi wa haya ikiwa ni pamoja na minutes za vikao achukuliwe hatua kwa kusema uongo.Nampa masaa 3 .

Pili,Tamko langu kuhusu PM-7 lipo huku.

Tatu,Kama nilipongezwa kwa kiwango anachodai mleta mada hapa sasa iweje nipewe adhabu ya kusimamishwa kugombea nafasi yoyote kwa muda wa mwaka 1 sambamba na onyo kali

Nashukuru Mungu uchaguzi haukufanyika mwaka huu kama ilivyopangwa maana ningekosa haki ya kuchaguliwa.Mipango ya Mungu si kama mipango yetu wanadamu


Nne,Naomba niweke hili very clear.Sijawahi kuwa au kutumiwa na Dr.Slaa au kiongozi yeyote wa CHADEMA kwa maslahi binafsi.

Hizi ni hoja mufilisi na visingizio vya washirika wangu wa Zamani katika mkakati haramu waliokasirishwa na kitendo changu cha kusimamia maslahi ya chama na kuwaanika hadharani baada ya mimi binafsi kufanya kazi kubwa ya kuwasihi waache mpango huo maana wangekivuruga chama


Kwa muda wa takribani siku 345 hadi leo hii wamekua wakinishambulia na kunitukana lakini mwisho wa siku walikiri kupanga njama chafu.Ukweli siku zote husimama juu ya unafiki,usaliti na njama ovu za kuuficha ukweli.Kilichotokea Alhamisi iliyopita ni Matokeo ya jitihada za ukweli uliofanikiwa kulipa kisasi baada ya kupuuzwa kwa muda mrefu

Tano,WANACHADEMA,Wapendamabadiliko na watanzania kwa ujumla nawaahidi kuendeleza mapambano na wale wote wanaozuia harakati za mabadiliko ndani na nje ya chama chetu

Nitaendelea kusimamia misingi ya chama chetu na taifa bila kuchoka hadi tone langu la mwisho la damu.Namuomba mwenyezi Mungu anipe nguvu na ujasiri katika mapambano haya.Tuwapuuze wale wote wanaojaribu kututoa katika mstari wa mapambano.

Katika harakati hizi za mabadiliko na malengo ya CHADEMA kitaasisi katika kuongoza vuguvugu hili Doctrine yangu ni 'It's either you are with us or against us'.Hakuna middleground hata kama dunia ni three dimension.Kipimo nitakachompimia msaliti yeyote wa mabadiliko haya ndani ya chama hakitakua na tofauti na kile nitakachotumia dhidi ya wapinzani na maadui wa mabadiliko nje ya chama.

CC: Invisible, Fang, Buchanan, Paw, PainKiller Moderator

we ben,unaposema mabadiliko ndani ya chama unamanisha nn??,kwako we mabadiliko ni nini??,kukiuka katiba na kujirefushia muda wa uenyekiti we kwako ni mabadiliko ndani ya chama.unabadilisha nn mdan ya chama??,huu si unafiki,unamsimamo gani wewe mpaka sasa unaoweza kusimama kwa watu ukasema tukakuelewa??zaidi ya kuchongea wenzako na kufitini kwa chini chini.kama ulikuwa unajua kila kitu kabla mbona kwa mambo ya viongozi wa juu wa chama tunayajua mengi na kama wewee ni spy mbona husemi??.huu sio unafiki??mbona wao juwaambii kwamba wanaenda kinyume??,KUJIMOMBAKOMBA hakudumu.

jina halijengwi kwa unafiki na majungu na kujipendekeza,simamia upande mmoja sio unauma huku na huku kisha unapuliza,nakufahm sana tangu unaanza mambo ya siasa mpaka sasa ama unataka nianike kila kitu chako hapa.??, jaribu kuwa na msimamo.nikwambie tu kwamba nakujua sana,kuamka mpaka kulala kwako,.mfano trh.09-11.2013, saa 00:45 - 01:14,ulikuwa wapi na akina nani na mlipanga nni??,mbona hii husemi??,kwa nn unazunguka wenzako??,
 
Last edited by a moderator:
Mods wa JF wana kazi zo zenye heshima,hata siku moja huwez kuwakuta wanahangaika na wachumia tumbo na watu waliofeli kimaisha kama wewe na yericko,nani asiewafaham humu ndan kuwa nyinyi ni watu wa kujipendekeza kwa Wilbroad Slaa kwa kutumain eti akichukua nchi basi mtapata japo kazi ya ufagiz pale ikulu??mnaota ndoto za mchana sana,

THANKS MODS KWA KUPUUZA MATAPELI KAMA HAWA,SISI TUTAWAUNGA MKONO KATIKA KUWAPIGA VITA

"Mida Eight anatumiwa na Dr. Slaa kugombanisha viongozi" - waraka

Cc FaizaFoxy Ritz
 
Last edited by a moderator:
Mods wa JF wana kazi zo zenye heshima,hata siku moja huwez kuwakuta wanahangaika na wachumia tumbo na watu waliofeli kimaisha kama wewe na yericko,nani asiewafaham humu ndan kuwa nyinyi ni watu wa kujipendekeza kwa Wilbroad Slaa kwa kutumain eti akichukua nchi basi mtapata japo kazi ya ufagiz pale ikulu??mnaota ndoto za mchana sana,

THANKS MODS KWA KUPUUZA MATAPELI KAMA HAWA,SISI TUTAWAUNGA MKONO KATIKA KUWAPIGA VITA

"Mida Eight anatumiwa na Dr. Slaa kugombanisha viongozi" - waraka

Cc FaizaFoxy Ritz
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom