cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
😂😂😂Linachambwa dume fulani hivi tambi kama mimba ya nguruwe na sura kama kaka wasira
😂😂😂Linachambwa dume fulani hivi tambi kama mimba ya nguruwe na sura kama kaka wasira
aseee pole sana ila naamin saivi umeponaNiko poaa kicwa kinauma lakin
Mie naogea sabuni ya unga na dodoki la viroba.
Ndio naamka niko poa kiasiaseee pole sana ila naamin saivi umepona
Magadi yakuchimba au sabuni ya magadi😀😀Bora wewe mie natumia magadi kuogea
wew ni wa kishua? mbona uamke saa nne😆Ndio naamka niko poa kiasi
Mimi ni jobless babewew ni wa kishua? mbona uamke saa nne😆
jobless gan unalala mpka saa nne?😅Mimi ni jobless babe
Love u🥰
Sasa nawahi kuamka niende wap😀jobless gan unalala mpka saa nne?😅
Ya kuchimba kabisa mamioMagadi yakuchimba au sabuni ya magadi😀😀
Utachubuka mamioYa kuchimba kabisa mamio
hata kwa ndugu zako huko,,, wanasema mtembea bure si kama mkaa bureSasa nawahi kuamka niende wap😀
Hao ndugu sina upo wap nijehata kwa ndugu zako huko,,, wanasema mtembea bure si kama mkaa bure
Mweee!! Hazichubuki😱Nashukuru mkuu hapa tayari nishachemsha maji yangu, dodok8 langu la KIROBA CHA UNGA, mswaki wangu wa mti, na sabuni yangu ya unga, nimedevelop leo naogea OMO..
Nikifika navuruga sabuni na maji napata povu la uhakika, nachovya dodoki kwenye povu, kisha naanza kujiparatua.
Hapo hujanikuta nazikosha MBUPU sasa, nakuwa makini sana na NYANYA MSHENZI 🍒 zangu, pamoja na 🥒..
1🤣🤣🤣
Ila we ni kajinga jamani🫢Mm naoga mara tatu kwa siku,sitaki ninuke jasho kabis.Napiga pamba safi,najipulizia marash.Alafu naiingia kitaa kutafuta madem
Kimtekenye eneo husika sio?Uchafuuu🤮
Na kwann utumie kopo
Tumie kibomba
maisha ya kijijini utayaweza?Hao ndugu sina upo wap nije
Hata upo uingereza funga safari njooooooooooooooooooooooo🔥
Hazichubuki zina mng'ao wa silver 🤣, ukizingatia kila wiki napitisha kwanja na kuzipaka wese basi zinamereremeta 😂🤣🤣Mweee!! Hazichubuki😱
Ngozi inakakamaa🙁
Mom mi staki😀Kimtekenye eneo husika sio?