Unafanyaje usafi wako wa mwili?

Unafanyaje usafi wako wa mwili?

Kuna watu hawajipendi kabisa, unakuta mtu unamheshimu vizuri tu lakini hajui kuzingatia usafi wake wa mwili. Mtu mzima, unanukaje mdomo, kwapa, miguu, masikio, au pua?

Mf: mambo ya faragha, ukutane na mwanamke na harufu za ajabu-ajabu lol… inakata sana! Kwa wanaume pia inakata asalaleeeee🙌

Hivi shida hua nini? Mfano, mtu kufuga msitu wa Amazon sehemu za siri? 😳 Huoni unakua kero kwa mwenzi wako?
Kuna ugumu gani kuosha kwapa vizuri ili lisiwe shombo? Sugulia hata limao basi 😏
Unakuta mtu akivua viatu… tafrani akhaaa !
Soks, unaiva wiki nzima mfurulizo. Ebooo!

Mdomo, kinywa… yeuwiiiiiiiiii 😬
hiii sehemu ikinuka ina haribu shughuli nzima usisahau kusugua ulimi!
Kama una matatizo ya mdomo tibiwa

Usafi wa sehemu nyeti wewe unafanyaje?
Wax, wembe, jivu, remove hair, mkasi, kipande cha chupa, kunyofoa…?
Karibuni tuzogoe 🫣👌
Sasa "mupenzi", ndo umeamua kuja kunisema huku? 🤔
Au ulidhani sipo JF.

Si tulikubaliana lakini haya mambo yanazungumzika, sasa mbona umekuja kuniwamba huku.?
 
Back
Top Bottom