Unafanyaje unapotukanwa na mlevi?

Unafanyaje unapotukanwa na mlevi?

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,577
Hivi wewe unajisikiaje unapotukanwa Matusi ya Nguoni na Mlevi anaekunywa Pombe mpaka anajinyea? How do you feel?

Yaani mlevi anaekunywa pombe mpaka anashindwa kujizuia haja kubwa anaanza kukutukana unajisikiaje?

Samahani kwa wale wanaokunywa kistaarabu, namaanisha sizungumzii wewe unaekunywa bia 3/4 na kwenda kulala, hapa namzungumzia yule ambae analala na makreti ya bia yeye chai yake ni pombe mlo wa mchana pombe chakula cha usiku pombe na anakunywa mpaka Visungura sijuo Kick nini na upuuzi mwingine.
 
Hivi wewe unajisikiaje unapotukanwa Matusi ya Nguoni na Mlevi anaekunywa Pombe mpaka anajinyea? How do you feel?

Yaani mlevi anaekunywa pombe mpaka anashindwa kujizuia haja kubwa anaanza kukutukana unajisikiaje?

Samahani kwa wale wanaokunywa kistaarabu, namaanisha sizungumzii wewe unaekunywa bia 3/4 na kwenda kulala, hapa namzungumzia yule ambae analala na makreti ya bia yeye chai yake ni pombe mlo wa mchana pombe chakula cha usiku pombe na anakunywa mpaka Visungura sijuo Kick nini na upuuzi mwingine.
Mrema wa visungura anasemaje kwani
 
Huyo anakutukana kwa kupania,sio kwamba anakutukana kisa amelewa,pombe humuondolea tu aibu ya kukutukana,

Piga mitama na makofi ya maana,uone kama siku nyingine atakutukana,piga kofi la kwenye sikio mpaka asikie ile sauti ya nyuki.
Mkuu mtu mwenyewe hafai hata kupigwa, ungemuona hata usingesema hivyo yaan
 
Hii ishanitokea twice

1st - Nilitukanwa na shoga mzee, yani anapigwa miti na wakongo mpaka akawa na lafudhi ya kikongo
Hurt me big time, nikavunga, kesho yake katika pita pita zangu sinza huyu hapa - nikamuliza unajua jana ulinitukana. Alipiga magoti kuomba msamaha - nikaona teyari alipo anateseka niachane nae, maumivu anayopitia yanamtosha

2nd - Alinitukana matusi ya nguoni ambayo sijawahi tukanwa toka nizaliwe
Niko nje ya geti, nulitamani nimkwide sema wahuni sio watu wa kugombana nao, anaweza Tia nyumba moto - nikavunga

Katika matusi lililoniuma zaidi "unajikuta una hela, we k*m* tu, mimi k*ma ila wewe k*u** kubwa zaidi"

Kulikuwa na watu nyomi nilitamani nilie maana matusi kama alisonea sheria za matusi

Siku hizi akinion ananisalimia, ila iko siku yake ataingia kingi, sijawah kutukanwq kiasi kile. Mdfck
 
Hii ishanitokea twice

1st - Nilitukanwa na shoga mzee, yani anapigwa miti na wakongo mpaka akawa na lafudhi ya kikongo
Hurt me big time, nikavunga, kesho yake katika pita pita zangu sinza huyu hapa - nikamuliza unajua jana ulinitukana. Alipiga magoti kuomba msamaha - nikaona teyari alipo anateseka niachane nae, maumivu anayopitia yanamtosha

2nd - Alinitukana matusi ya nguoni ambayo sijawahi tukanwa toka nizaliwe
Niko nje ya geti, nulitamani nimkwide sema wahuni sio watu wa kugombana nao, anaweza Tia nyumba moto - nikavunga

Katika matusi lililoniuma zaidi "unajikuta una hela, we k*m* tu, mimi k*ma ila wewe k*u** kubwa zaidi"

Kulikuwa na watu nyomi nilitamani nilie maana matusi kama alisonea sheria za matusi

Siku hizi akinion ananisalimia, ila iko siku yake ataingia kingi, sijawah kutukanwq kiasi kile. Mdfck
Inauma sana mkuu acha tu
 
Inauma sana mkuu acha tu
Watu kama hao, yani life punish them in other way
Jamaa wa pili Alianza kunisalimia kwa kichwa, baadae akawa ananisalimia kwa maneno na hakuwahi hata kuomba msamaha

Mke wake nimekutana leo, kanikonyesha na kunipiga busu la mkono na kunirushia.

Bado adhabu yake inachemka, naitafakari kwa kina
 
Watu kama hao, yani life punish them in other way
Jamaa wa pili Alianza kunisalimia kwa kichwa, baadae akawa ananisalimia kwa maneno na hakuwahi hata kuomba msamaha

Mke wake nimekutana leo, kanikonyesha na kunipiga busu la mkono na kunirushia.

Bado adhabu yake inachemka, naitafakari kwa kina
Kwa hio mkuu na wewe unamlipia kwa mkewe?
 
Back
Top Bottom