Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,638
Reaction score
3,641
Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

Shea dili lolote unalofanya ambalo na sisi tunaweza kufanya tukapata pesa.

Comment yako itasaidia wanaume wengine wanaojitafuta.

Mimi ni dalali wa viwanja. Nanunua kiwanja kwa bei ndogo, nakiweka sokoni kwa bei mara mbili. au nanunua kiwanja kikubwa nakigawa mara mbili nakiweka sokoni.

Coment yako ni muhimu
 
Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

Shea dili lolote unalofanya ambalo na sisi tunaweza kufanya tukapata pesa.

Comment yako itasaidia wanaume wengine wanaojitafuta.

Mimi ni dalali wa viwanja. Nanunua kiwanja kwa bei ndogo, nakiweka sokoni kwa bei mara mbili. au nanunua kiwanja kikubwa nakigawa mara mbili nakiweka sokoni.

Coment yako ni muhimu
Ulozi
 
images (23).jpeg
 
Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

Shea dili lolote unalofanya ambalo na sisi tunaweza kufanya tukapata pesa.

Comment yako itasaidia wanaume wengine wanaojitafuta.

Mimi ni dalali wa viwanja. Nanunua kiwanja kwa bei ndogo, nakiweka sokoni kwa bei mara mbili. au nanunua kiwanja kikubwa nakigawa mara mbili nakiweka sokoni.

Coment yako ni muhimu
Nafundisha watu kilatini,wapo watu kadhaa ambao wanapenda kujua kilatini,nalipwa pesa zinanitosha kujazilizia ruzuku nayoletewa na watoto wangu,nina wateja wengi tu ila siwezi kuwataja
 
Mimi nimerithi Zizi la punda mia moja na kumi.Nawatunza na kuwauza kwa wachina kama kitoweo kwa bei njema.
Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

Shea dili lolote unalofanya ambalo na sisi tunaweza kufanya tukapata pesa.

Comment yako itasaidia wanaume wengine wanaojitafuta.

Mimi ni dalali wa viwanja. Nanunua kiwanja kwa bei ndogo, nakiweka sokoni kwa bei mara mbili. au nanunua kiwanja kikubwa nakigawa mara mbili nakiweka sokoni.

Coment yako ni muhimu
 
Back
Top Bottom