Unaeleza kitu kingine kabisa. Mimi nimesema ufanyike uchaguzi huru na wa haki then matokeo yake ndiyo yata akisi hiyo hoja yako ya ni watu kiasi gani wanamkubali Samia. Si zaidi ya hapo.by the way waTanzania wengi wanamkubali sana Dr Samia Suluhu Hassan kuelekea uchaguzi mkuu 2025..
hayupo atakae lazimishwa kuamini kwamba utakua huru, haki na wa wazi🐒
Tume Huru ya Uchaguzi inaandaa na itasimamia uchaguzi huo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na sio kwa matakwa au maoni ya kikundi Fulani chenye mashaka, kisicho amini kila kitu 🐒
ushiriki usishiriki ni uamuzi wako, waTanzania watakao shiriki wataamua kwa niaba yako na mambo yasonge mbele, Kwan kuna shida hapo? 🐒
Kula 5 mkuu Kwa kumpa ukweli huyo chawa.Acha ujinga wewe kutujumlisha na sisi, kama unampemda ni wewe na familia yako pimbi jike wewe
Mambo mengine ni ya kujitakiaKuna thread ukizifungua, ukitoka bila kutukana wewe ni special case.
uko sahihi,Unaeleza kitu kingine kabisa. Mimi nimesema ufanyike uchaguzi huru na wa haki then matokeo yake ndiyo yata akisi hiyo hoja yako ya ni watu kiasi gani wanamkubali Samia. Si zaidi ya hapo.
wanawake wote, wakulima, wafugaji, wanafunzi, wafabiashara, wavuvi wafanyakazi, wa akina baba na akina mama wa vyama vya kisiasa karibu vyote nchi, maafisa usafirishaji wa magari, bodaboda n.knani kakwambia wanamkubali
ukifikia ukomo wa fikra mpya au mbadala, moyo unajaa hasira , chuki na mihemko, so hitimisho huwa ni kuporomosha matusi tu 🤣Kuna thread ukizifungua, ukitoka bila kutukana wewe ni special case.
Huyo amejimilikisha akili za watanzania wote. Achofikiria au kupenda yeye anaamini watanzania wote wako kama yeye,utamuweza huyo? Kuna shida hapo.nani kakwambia wanamkubali
CCM ni sehemu ya ushindi wa kishindo wa Dr Samia Suluhu Hassan..Endeleeni kumdanganya huyu Mama, na nadhani ccm hakuna uchaguzi watamwaga hela kama uchaguzi ujao, na wizi wa waziwazi wa kura.
Umejianzishia uzi mwenyewe kwa ID fake alafu unakuja kujijibu mwenyewe 😄 yaani unajitekenya alafu unachekaRais Samia anapendwa na kukubalika na mamillioni ya watanzania kwa sababu amekidhi matarajio ya watanzania na kukata kiu waliyokuwa nayo juu ya aina ya kiongozi waliyekuwa wanamuhitaji.
Kwa ufupi Mama yetu mpendwa na kipenzi cha watanzania ni jibu na jawabu kwa mahitaji ya watanzania.
muanzishe chama cha kubisha ukweli na kiongozi wenu awe yule kiongozi wenu awe yule anae nyooshwa na bunge 🐒Huyo amejimilikisha akili za watanzania wote. Achofikiria au kupenda yeye anaamini watanzania wote wako kama yeye,utamuweza huyo? Kuna shida hapo.
Kuhusu Mali za Tanganyika imekaaje???Bora huyu mara buku japo pia ana mapungufu kuliko yule dikteta
Stupidity is knowing the truth, seeing the truth but still believing the lies.Ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa?
Au ni kwasababu ya umadhubuti wa sera, mipango, mikakati, jitihada, bidii na umahiri wake katika kutekeleza kwa weledi sana na kwa ufasisi mkubwa mno miradi mtambuka ya maendeleo inayogusa mojakwamoja maisha ya watanzania kama vile maji, afya, elimu, kilimo, viwanda, uvuvi, miundombinu, usafirishaji N.K?
Au ni kwasababu ya amani liliyopo, ulinzi, usalama, uhuru, haki, utulivu, usawa, uwazi na uwajibikaji wake katika kuongoza nchi kwa misingi ya utawala wa sheria na kwa kuzingatia katiba ya nchi?
Au ni kwasababu ya matumani makubwa waliyo nayo Watanzania kwake, kwamba ndie pekee kiongozi wa kisiasa nchini, anae weza kutimiza ndoto na matarajio yao, ya maisha bora?
Kwa maoni yako, unadhani ni kwanini Samia Suluhu Hassan, anapendwa na kuaminika kiasi hiki, kitaifa na kimataifa?
like the gentleman who suffers the bunge ban after tried so hard to force rumors and lies to be truth inside bunge, right?🐒Stupidity is knowing the truth, seeing the truth but still believing the lies.
Tz kuna Nyumbu-Z tangu kitambo sana hata kabla ya Gen-Z🐒Hahaha bahati yake Tanzania hakuna Gen-Z.