RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
HABARINI ZA LEO WANAJAMVI NATUMAINI MU WAZIMA WA AFYA KAMA NI MGONJWA "POLE"
Nimekuwa kwa mda mrefu nikichangia Mada mbalimbali hapa na zingine kuzisoma.. ila kuna kitu kimoja kimenikera kidogo.
Haki za Wanawake
Nakubaliana na mikakati mbalimbali ya kumwinua mwanamke na kumtoa katika utegemez wa mwanamme.. Lakini sasa utakuta baadh ya wanawak ndo wamechukua chanc hyo kuamua wao wenyew kuw kila ki2 atakachofanya mwanaume basi na yeye afanye au kila atakachotakiw kufany wanamke bas na mwanamme afanye. Kuna mada mbalimbali zinatolewa humu. Mfano "Jinsi ya kumfurahisha Mwanaume" lakini sasa anatokea mtu kuliangana na ujumbe uliopo ndani,anasema hata mwanamme anatakiwa kufanya hvyo. Lakini ajaangalia kuwa Ujumbe umemlenga YEYE.. Sasa badala ya kuchangia vizuri na kuchukua ujumbe huo anabaki kuwaza haki sawa,kwamb kama mi natakhwa kufanya hv bas nae anatakiwa kufanya hvy hvy.. Sikatai kuwa 2natakiwa kufurahishana ila kumbuka kuwa Mada hiyo imekulenga we mwanamk, hata sis zipo ambz zinatulenga..
Ushauri:
Haki ndio unatakiwa kupewa lakin kama ki2 kinakuleng wew usitake kumsukumia tena mwenzako,eti na yeye pia afanye. Hata ndoa sidhan kama itadumu kama kila mmoja atataka kuwa Fahari.
Nimekuwa kwa mda mrefu nikichangia Mada mbalimbali hapa na zingine kuzisoma.. ila kuna kitu kimoja kimenikera kidogo.
Haki za Wanawake
Nakubaliana na mikakati mbalimbali ya kumwinua mwanamke na kumtoa katika utegemez wa mwanamme.. Lakini sasa utakuta baadh ya wanawak ndo wamechukua chanc hyo kuamua wao wenyew kuw kila ki2 atakachofanya mwanaume basi na yeye afanye au kila atakachotakiw kufany wanamke bas na mwanamme afanye. Kuna mada mbalimbali zinatolewa humu. Mfano "Jinsi ya kumfurahisha Mwanaume" lakini sasa anatokea mtu kuliangana na ujumbe uliopo ndani,anasema hata mwanamme anatakiwa kufanya hvyo. Lakini ajaangalia kuwa Ujumbe umemlenga YEYE.. Sasa badala ya kuchangia vizuri na kuchukua ujumbe huo anabaki kuwaza haki sawa,kwamb kama mi natakhwa kufanya hv bas nae anatakiwa kufanya hvy hvy.. Sikatai kuwa 2natakiwa kufurahishana ila kumbuka kuwa Mada hiyo imekulenga we mwanamk, hata sis zipo ambz zinatulenga..
Ushauri:
Haki ndio unatakiwa kupewa lakin kama ki2 kinakuleng wew usitake kumsukumia tena mwenzako,eti na yeye pia afanye. Hata ndoa sidhan kama itadumu kama kila mmoja atataka kuwa Fahari.