kuna dada alinitext fb (she is my long time friend) nikachat nae baadae akaanza kunieleza jinsi mumewe asivyomjali, hatengi muda kuwa nae and so forth,. sasa mimi nikawa namsihi awe mvumilivu huenda jamaa atabadilika pia nikawa nampa maneno ya faraja and most of the time akawa ananitafuta nachat nae na mwendo ni ule ule malalamiko juu ya mumewe. Sasa kaniambia kuwa next thursday tukutane sehemu tulivu na ameshaaga kwa mumewe kuwa siku hiyo ataondoka home ataenda kuwasabahi ndugu zake. I dont know what will happen hiyo keshokutwa aisee