Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,461
Seems like yamekukuta.! Pole sana mmhhh sisi Wanaume ndo tulivo ukizoea utaona kawaida tuu
NampendaKafanyaje?
Haya brother!Nampenda
Sishangai nimefjrahi kupata kaka
Mmh kumbe we mbaguzi!!!Dada zangu tumezaliwa tumbo moja tu
Mmh kumbe we mbaguzi!!!
Mmh!!Wewe huwezi kuwa dada wakat nkiona paja natamani
Mbona hueleweki?(i)Kuwa Mwaminifu+ (ii)kuchepuka
Ukipata wa category (i) upo Safe&Happy Everafter
Ukipata wa category (ii) your in to a Mess
Ukipata wa category (i&ii) ooohh Heil Noo, you are Dead...hapa ndo tunasemaga "Lovers Discretion" (i)uendelee ama (ii)uache
Ukichagua category (i)...
usijali my wiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nani kaka yako?!
Ahsante wifi [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ujiandae pia kutoa raha yako..maana huwezi kula bila kuliwakuna dada alinitext fb (she is my long time friend) nikachat nae baadae akaanza kunieleza jinsi mumewe asivyomjali, hatengi muda kuwa nae and so forth,. sasa mimi nikawa namsihi awe mvumilivu huenda jamaa atabadilika pia nikawa nampa maneno ya faraja and most of the time akawa ananitafuta nachat nae na mwendo ni ule ule malalamiko juu ya mumewe. Sasa kaniambia kuwa next thursday tukutane sehemu tulivu na ameshaaga kwa mumewe kuwa siku hiyo ataondoka home ataenda kuwasabahi ndugu zake. I dont know what will happen hiyo keshokutwa aisee