Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,751
- 3,689
Niulize kidogo, hiyo misosi mliyokuwa mnaikuta eunhwa vyema na nazi mlikuwa mnakula?
Nimewahi pia kutana na vibwanga ila si kiasi hicho kwenye nyumba fulani ya kupanga huku wiliya ya Kwimba.
Nilikuwa naishi geto peke yangu, kuna siku niliwahi kuamka asubuhi nikatafuta mswaki sioni, nilitafuta chumba kizima kila kona wapi, ikabidi kununua mwingine.
Kesho yake napangua nguo naukuta chini kwenye kona ya begi.
Nimewahi pia kutana na vibwanga ila si kiasi hicho kwenye nyumba fulani ya kupanga huku wiliya ya Kwimba.
Nilikuwa naishi geto peke yangu, kuna siku niliwahi kuamka asubuhi nikatafuta mswaki sioni, nilitafuta chumba kizima kila kona wapi, ikabidi kununua mwingine.
Kesho yake napangua nguo naukuta chini kwenye kona ya begi.