Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Hivi huku ni kuteta kumbe
Hivi huku ni kuteta kumbe
Kume kucha. ..... Mother Confessor. .mrudishie dada wa-watu mume wake
Furahi mama uongeze siku.... Ila je we unaweza hizi mambo kweli?Comments zimenifurahisha sana
Huu uzi unaweza sababisha Yale ya gilesi
Kama unayawezabona hudatishi kijana akuoe ?Atajijua.
Kuna watu wanajisahau sana.
Ukishapigwa umepigwa tu bora utulie. Yalokuwa yamekuwa hubadilishi kitu.
Ulishindwa zamani hizo utaweza saa hizi watoto wameshakua?
Umemfanyia ukaguzi mumeo lakini -- usije kukuta amekuaga kuwa amesafiri kumbe yupo kwa mtoa mada ... na hili dongo waweza kukuta linakuhusu wewe ila tu haujuiDaah! Nimekaa nikawaza ndio mwenye cheti anachambwa kwenye msg kupitia simu yake ya kiganjani kwa maneno ka hizi.
Haya bana muwe na mwisho mwema katika hizo mbio zenu.
Leo naona mnatoa roho wenyewe kwa wenyewe ...sisi tupo kando tu naangalia tu huu mpambano. .
We awakiazaga kelele hivi wanakuwa wanataka kukupandisha hasira tu mfananae miserable life!Daah! Nimekaa nikawaza huyo mwenye cheti anachambwa kwenye msg kupitia simu yake ya kiganjani kwa maneno ka hizi. 😀😀😀😀
Haya bana muwe na mwisho mwema katika hizo mbio zenu.
Hahahaha naweza wapi kutoa povu hivi kwanza nilivyo na aibu ikitokea nakausha tu mimi ugomvi wangu naamisha kwa mwanaume.Furahi mama uongeze siku.... Ila je we unaweza hizi mambo kweli?