Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Eeeeeh hebu kwanza Kwani mwenye mume nani hapa mi sielewi.... Mtoa mada ni kimada au mwenye mume?Kama unayawezabona hudatishi kijana akuoe ?
MI NDO HAPO MNAPONICHOSHAGA!
yani umahiri wehu wa mahaba na kutokujisahau huwa kunafanya tu kazi kwa waliooa!
Wasiooa aaaanh!
NA MWANAUME ALOZAA NA WEWE ANA HASRA SANA!
sema nini, kitumbua ndo mambo yote !
ACHA ajilie kuku wa kienyeji baba wa watu!


