Una cha kujivunia mwisho mwa mwaka 2019 ?

Una cha kujivunia mwisho mwa mwaka 2019 ?

Hivi punde, Kwa kweli mimi nilidhamiria kuhakikisha nyumba yangu ya 3 bedrooms (kibanda) imeisha na kuhamia kwangu. Lengo limetimia na kbl ya mwaka kuisha niwe nimeanza kusimamisha fance ya nyumba kwa ajili ya security.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongea kwako sana kiongozi, unastahili kumshukuru mungu.

Mwaka wako ulkuwa mzur, mi kwang sina cha kujvunia mana skufanikiwa kufikia ata robo ya malengo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cha kujivunia mwaka huu ninefanikiwa tu kujiunga JF, japo changamoto ni pale najiona mimi tu ndo sijatoboa.... ila kwa niliyojifunza humu ‘nikiyafanyizia’ kazi mwakani nitaanza kuishi.

InshaAllah.
 
Back
Top Bottom