Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,333
kiuhalisia wote hatuhongwi ila tunatamani sanaaa tungekuwa tunahongwa, hivyo nae aache kulia lia atafute japo kidogo hicho hicho kitawatosha.
Hahhaha wewe unadhani wote humu wanahongwa? Kuna wengine humu wana nyota za kukopwa kuhongwa wanakusikia tu kwa shostiz wao. Uoga wako ndo umaskini wako