Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Ni muhimu lakini sio lazima, mapenzi ni kujali na kusaidiana (pande zote).
Unapokuwa mpokeaji bila kutoa huna tofauti na anayeuza.
 
ww unamuona mmbaya lakin wanawake wenzio wanamlilia wanataman wampate aisee inatubidi tusije na wake zetu "dalisalama"
Mwanaume mlegevulegevu na mrembo hivyo nani ataka? Hanivutii kwa chochote mie
 
Aiseee.....!!!!
Hiyo Ni gharama ya huduma....!
 
tuhongeni jamani tujiskie wa kipekee
 
Back
Top Bottom