Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Kwanza nikihongwa zenyewe zinapanda...
 
Wamebaki wachache wa sampuli hiyo. wengi wao ni mambo ya nakupa kitu nawe unatoa kitu baada ya hapo kila mtu na hamsini zake
 
wmy dear we jikongoje kwanza kuondokana na umasikini unaokufanya upoteze kujiamini, usiwekeze kwenye papuchi, hizi papuchi zipo tu.

Nasikia wewe ndo kinara wa kupenda hongo, nataka nijikongoje na huu umasikini wangu nipande dau dear!.........Are you ready?
 
wmy dear we jikongoje kwanza kuondokana na umasikini unaokufanya upoteze kujiamini, usiwekeze kwenye papuchi, hizi papuchi zipo tu.
Nimekuwa lonely mda mrefu mno and my heart is so needing love,naomba nikopeshe penzi dear!
 
Nimekuwa lonely mda mrefu mno and my heart is so needing love,naomba nikopeshe penzi dear!

and you said, through yo lonliness you found happiness, thats wht matters. So keep on being happy.
 
Muanze kubadilika nyie wahongaji, kataeni kuhonga mtangaze bartering,unakuwa ni mwendo wa ku exchange services. Lakini kwa kuwa wenyewe mnapenda kuhonga basi na wenyewe lazima wapende kuhongwa.
Hata hivyo, hakuna anayehonga bila kutegemea malipo/upnedeleo wa aina fulani (favor). Hata wewe unamhonga mume au mpenzi wako bila kujua kuwa unamhonga.
 
Hata hivyo, hakuna anayehonga bila kutegemea malipo/upnedeleo wa aina fulani (favor). Hata wewe unamhonga mume au mpenzi wako bila kujua kuwa unamhonga.
Tuongelee zile "direct" hongo, kama cash au materials. Achana na zile zisizoonekana au kushikika. Wanawake na wanaume wote tunahitajiana katika starehe ya kiwiliwili, na tulivyozoea wahongaji wengi ni wanaume kuliko wanawake, Hebu wanaume kataeni kuhonga tuone kama mtasitishiwa hiyo huduma.
 
Back
Top Bottom