carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Wana JF,
Baada ya kigugumizi kingi kinachopata CHADEMA kwa sasa, nidhahiri wengi wetu ambao tulikuwa tunadhani inaweza kututoa shimoni tumekata tamaa baada ya revelation mbalimbali zinazoendelea, inawezekana kuna agenda za siri nyingi sana tusizozijua na hivyo matokeo yake CCM itaendelea kutawala siku zote tusipofanya maamuzi ya busara ya kupata chama mbadala.
Sasa na-suggest tuanzishe chama cha watu wenye uchungu wa kweli na nchi hii, na tuweke malengo kwamba hadi 2025 lazima tubadilshe utawala, ni maoni tu!
Baada ya kigugumizi kingi kinachopata CHADEMA kwa sasa, nidhahiri wengi wetu ambao tulikuwa tunadhani inaweza kututoa shimoni tumekata tamaa baada ya revelation mbalimbali zinazoendelea, inawezekana kuna agenda za siri nyingi sana tusizozijua na hivyo matokeo yake CCM itaendelea kutawala siku zote tusipofanya maamuzi ya busara ya kupata chama mbadala.
Sasa na-suggest tuanzishe chama cha watu wenye uchungu wa kweli na nchi hii, na tuweke malengo kwamba hadi 2025 lazima tubadilshe utawala, ni maoni tu!